Harmonize bado yuko chini ya Diamond, ni Mbinu za Kibiashara tu

Nilichogundua kwako wewe si mpenzi wa mziki you know nothing in music industry ila umebobea kwenye uhater zaidi ndo maana anatengeneza hoja zisizo na nguvu
 
Mkuu,Mavoko alikuwa ameshaanza kupotea kwenye game kabla hata hajajiunga WCB 2016,Ni WCB ndio walimrudisha kwenye tasnia kwa nguvu wakambadilisha mpaka style ya mziki aliokuwa anafanya zamani akarudi kwenyegame na mziki wa tofauti kabisa ,Ngoma zake waka zipromote kwa nguvu kubwa nyimbo zikwa Hit ........

Na mpaka kesho kama kuna kitu Mavoko alifanya kwa kukurupuka ni kuondoka WCB na kwenda kusimamiwa na genge la wahuni linaloongozwa na DOKII.
 
Mavoko alikua na jina kabla ya kuingia wcb tafuta uzi watu wakimponda kwenda huko na wengi walitabiri anaenda kuua kipaji pale. Dokii ni dada yake mavoko.

Kama wcb inaikuza vipaji leo mboso angekua wa kutisha,lavalava asingeshikika,vanny kabaki mtupu baada ya harmo kutoka maana walikua na kaushindani flani. Leo andaa tamasha toa domo,weka waliobaki (bila kuhusisha akina giggy na genge lake)kama hilo tamasha litatamba najitoa JF cheiiii
 
Umebobea kwenye unazi zaidi ndo maana huoni point
Nilichogundua kwako wewe si mpenzi wa mziki you know nothing in music industry ila umebobea kwenye uhater zaidi ndo maana anatengeneza hoja zisizo na nguvu
 
Wengi wasiofahamu kiundani uhusiano wa hawa jamaa ndo wataamini kuna bifu la kweli ...

Bifu lao ni la faida pande zote mbili ..ukiangalia kwa mbali Ali kiba kashatolewa kwa knock out katika kuwacompare na domo

Diamond mpinzani wake mkuu kwa sasa ni harmonize ..mwamba wa Rock star chali kama mgonjwa wa kwanza wa corona...ni sawa na maji ya glasi moja kupungizia kwenye glasi nyingine

Hivyo ufalme wanagawana wenyewe kwa wenyewe ..keki hailiwi na watu wa mbali

Haya nilisema toka kitambo mkuu na wewe umeona mbali

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeongea ukweli mtupu
 
Hadi leo kuna MASHABIKI wa Alikiba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu? Hawa ni key players tuu... Watu ambao wako nyuma yao ni Kusaga na marehemu Ruge hawa ndio wenye mchezo hasa.
 
tayari nina mask na nnanawa maji ya sabuni kila baada ya sekunde 20
 
tumuombee juyu bwana mdogo hari si shwari
 
asante kwa kuongezea
 
Umeongea kama kiba mwenyewe, sina uhakika kabisa kama bado kiba anajua gemu linaendaje hapa bongo. Niambie ngoma yake moja ambayo ni latest na ni kali
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mda wa kuchambua na kujua idadi ya nyimbo kwa kila mmoja, ungeutumiakutafuta/ kuvumbua dawa ya corvid-19, ungekua tajiri sana.
Nyie waafrika hakuna mwafrika hata mmoja mwenye uwezo wa kugundua dawa ya Corona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…