Uno imetisha mno kaka acheni wengeHapo kwenye ngoma inabidi afanyie kazi, kiukweli mpaka sasa naona bado hajatoa hit ya kusumbua kitaa kama zile ngoma zake akiwa WCB.
Nafikiri kazi zitaanza sasa, maana presha ya mfukoni kidogo inaanza kupungua.
Kuna ngoma moja anayo kawashirikisha Morgan Hertage-Nakupenda Malaika,ile ngoma kibongo bongo inaweza isitoboe ila kwa soko la nje itambeba nimeshangaa mpaka sasa kwa nini hajaifanyia video.Hapo kwenye ngoma inabidi afanyie kazi, kiukweli mpaka sasa naona bado hajatoa hit ya kusumbua kitaa kama zile ngoma zake akiwa WCB.
Nafikiri kazi zitaanza sasa, maana presha ya mfukoni kidogo inaanza kupungua.
Wivuuu!!Hiyo pesa aliyopata mwambieni tu anunue shati,anakaa sana kifua wazi.
Rayvan namtafuta mno nimpatie uwakala wa mgahawa wangu haupatikani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana plans zake uyoKuna ngoma moja anayo kawashirikisha Morgan Hertage-Nakupenda Malaika,ile ngoma kibongo bongo inaweza isitoboe ila kwa soko la nje itambeba nimeshangaa mpaka sasa kwa nini hajaifanyia video.
Katoa Bedroom rmx kaiharibu OG nyimbo imekuwa kama kwaya watu kibao.
Rayvanny aje nimpe deal ya kutangaza halopesa atakufa njaa yule
Sent from my iPhone using JamiiForums
BILA KUPITIA KWA SIMBA HUWEZI PATA DEAL YEYOTE (ILA UNAPATA DEAL ZAIDI BAADA YA KUMWAGANA NAYE):
1. ZARI - Balozi wa sabuni gani sijui , DANUBE etc
2.TANASHA - Maarufu ,ghafla ana trend kama mwanamuziki. Angekaa mwaka mmoja zaidi angeoata deals za ubalozi kama hizo
3.HARMONIZE - balozi wa CRDB , soda gani sijui
4.SAPENGA - akawa Brand si ya kitoto
5.etc etc
MSHUKURUNI SIIMBA NDIYE NGAZI YENU NYIE KENGE
unamshauri nn RayvavyRayvan namtafuta mno nimpatie uwakala wa mgahawa wangu haupatikani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati Harmonize hajatoka Wasafi na hana uwezo wa kutoka.Kuna wachawi walisema Harmonize atakuwa kama Rich Mavoko
Umewahi kuota kuwa ipo siku utampa mshikaji wako Brevis mpya bure bure tu?Rayvanny aje nimpe deal ya kutangaza halopesa atakufa njaa yule
Sent from my iPhone using JamiiForums
WCB inapata kiasi gani?Nasikia ni bilioni 1.9 kwa miaka mitatu yaani
-mwaka wa kwanza = 700 mil
-mwaka wa pili = 600 mil
-mwaka wa tatu = 600 mil
Wasafi business don't forget that.Jana nimeangalia Behind The Scene ya video ya Bedroom.
Nikaja na conclusion moja, Konde Gang means business.
Kweli alafu kila video anayoshoot havai tshet wala shati makonde anashida sana huyu.Safi sana, mwacheni kijana apige pesa...
Ila sasa mwambieni tu anunue shati,anakaa sana kifua wazi.