Harmonize balozi mpya wa CRDB Bank. Kijana anachanja mbuga asee

Za Kunyapia Nyapia ni kwamba kashindwa kulipa deni alokopa so ikabidi alipe kwa style Hiyo
Alisikika Mlevi mmoja akisema
 
Yaan wema abrandiwe na mondi?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
in your dreams...[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
only idiots will think eti mr harmonize eti yuko wcb...its his fuking money now ..

Sent using Jamii Forums mobile app
We don't write sh*ts here bro.
Harmonize is a WCB artist ila kinachoendelea kinaitwa kufanya Biashara na vipofu.

Hata Rock nation hawakumuachia Kanye kwa pesa ndogo kama mnayoaminishwa kwa Harmonize tena Rock hata hawakumtoa walimkuta yupo vizuri.

Harmonize ni asset na alishakua kiasi cha kuweza kufanya kazi nje ya mother label ila kwa usimamizi wa label, faida ya kufanya hayo ni nini?
1. Pesa zitaingia zaidi.
2. Watatengeneza asset mpya Zuchu.
3.Wataua carrier ya Alikiba Kabisa 4. Ushindani utakuwa WCB vs WCB

Watu wanaakili ya pesa hawakai kijinga jinga wanalala, wanaamka, wanakaa, wanatembea wakiwaza mamilioni ya pesa ndugu yangu wewe unawaza laki ngapi?
 
Anaanzaje kuikosa sasa?
Na unaamini Mikataba ya WCB kwa watu kama Rayvanny na Harmonize inaweza kuvunjwa kwa kiasi hiko cha fedha?
🤣 🤣 🤣 mkuu inaonesha kuna kitu kimekukaba kwenye koo pole sana ila ndiyo hivyo tayari Konde boy anachanja mbuga na miliion 600 alishawalipa wahusika hadaiwi na mtu.
 
kijana tafuta mahouse girl hapo mtaani kwenu uwapigie hizi story.
Wewe ni mzee? Are you over 45?
Yani watu wajuaji na wajinga kama wewe ni pesa ya WCB unajiona ku-side kwa harmonize ni kutoipa hela WCB au kuangalia na kusikiliza Wasafi ni kutoipa hela Clouds Kalagabaho.
 
Nenda na wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…