Harmonize - Hainistui (Official Audio)

Huyo unaemsema Keshajifia anatembele Kik za kurudia Idea ya Nyimbo za watu, katoa Sound Imebuma

Yope
Baba Lao, ni Idea za Watu wengine Sound Idea yake Imshapotea mtaani
Sound ipi iliobuma ? Tayari 4M viewers youtube huku mtaani unapigwa vibaya mno ile prokoto prokoto hatar
 
Bwana mdogo anajihami mwenyewe aache uoga
 
Umeongea Pumba tupu, Huo Mond Wako kila kukicha anatafuta Kik kwa Kiba..

Ebu taja wasanii wanaotafuta Kik kwa Wcb au Unabwabwa tu kama umetapika ulimi
 
Umeongea Pumba tupu, Huo Mond Wako kila kukicha anatafuta Kik kwa Kiba..

Ebu taja wasanii wanaotafuta Kik kwa Wcb au Unabwabwa tu kama umetapika ulimi
Siku nyingine watu wakikusikia unasema hivyo watu watakudharau.
 
Kati ya wasanii watano duniani,jeee kuna msanii hajawahi kurudia Melody?anza na Dr.Dre,Diddy,2 pac,Nas,Eminem n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu Sio kurudia Melody je kunamakubaliano yamefanyika before kutumia kazi ya mtu isijeikatokea Kama ngoma yake ya uno kumuibia yule mkenya.
 
Jembe ni jembe asome hapa bado mapema.. wamuokoe Huyu kijana. Nyimbo ni mbovu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…