Harmonize, hii 'chenchi' ya views laki 4 iwe fundisho kwako kwa mkubwa wako Diamond

Harmonize, hii 'chenchi' ya views laki 4 iwe fundisho kwako kwa mkubwa wako Diamond

Youtube ni biashara .

Domo ana kawaida ya kupromote nyimbo zake na kununua watazamaji.

Na kwakua keshakua maarufu,, ndio maana unaona Video ya Tembo ilikua imeshikiliwa na Youtub ili isivunje rekodi ya jamaa yao anayetumiaga mamilion ya pesa kwao.


Tembo namkubali leo,kesho nahata milele.
 
Youtube ni biashara .

Domo ana kawaida ya kupromote nyimbo zake na kununua watazamaji.

Na kwakua keshakua maarufu,, ndio maana unaona Video ya Tembo ilikua imeshikiliwa na Youtub ili isivunje rekodi ya jamaa yao anayetumiaga mamilion ya pesa kwao.


Tembo namkubali leo,kesho nahata milele.
Kijana wa Chitoholi
 
Mbona unafeli sana siku hizi. Naona somo la hesabu lilikupita kushoto. Rudia kusoma tena thread ya mtoa uzi ujue amefeli pakubwa sana. Hata km unamchukia mtu ila siyo kwa kiwango hichi
Diamond katumia masaa 24 ambayo ni sawa siku 1 kupata views 4.2
Harmonize katumia masaa 48 ambapo ni sawa na siku 2 kupata views 3.8
Inawezekanaje Harmonize hamzidi Diamond?
Manina huyu mmakonde amejua kuwanyoosha aisee.
 
Mbona unafeli sana siku hizi. Naona somo la hesabu lilikupita kushoto. Rudia kusoma tena thread ya mtoa uzi ujue amefeli pakubwa sana. Hata km unamchukia mtu ila siyo kwa kiwango hichi
Diamond katumia masaa 24 ambayo ni sawa siku 1 kupata views 4.2
Harmonize katumia masaa 48 ambapo ni sawa na siku 2 kupata views 3.8
Inawezekanaje Harmonize hamzidi Diamond?
Views ni pesa.
Kumbe mnahesabu pesa za watu!
 
Jamani wakati mnajadili mambo ya muziki mjue kuna watoto humu wanaaamin ujinga wa kununua views .

Makao makuu ya youtube yako los angels marekani kama sijakosea yaani tuhuma za kununa views zisifanyike na kina justin bieber huko waje kuchukua hela ya diamond wabongo akili ndogo inaa amini katika miujiza badala ya uwezo na akili.
 
Youtube ni biashara .

Domo ana kawaida ya kupromote nyimbo zake na kununua watazamaji.

Na kwakua keshakua maarufu,, ndio maana unaona Video ya Tembo ilikua imeshikiliwa na Youtub ili isivunje rekodi ya jamaa yao anayetumiaga mamilion ya pesa kwao.


Tembo namkubali leo,kesho nahata milele.
Hiyo ya kununua views ni story za vijiweni ...hamna mwenye prove yeyote
 
Jamani wakati mnajadili mambo ya muziki mjue kuna watoto humu wanaaamin ujinga wa kununua views .

Makao makuu ya youtube yako los angels marekani kama sijakosea yaani tuhuma za kununa views zisifanyike na kina justin bieber huko waje kuchukua hela ya diamond wabongo akili ndogo inaa amini katika miujiza badala ya uwezo na akili.
Yan mtu anayeamini kununua view ni mjinga haswa ....hakuna kitu kama hicho
 
hivi hamjui diamond huwa nanunua views
kama wale despacito nyimbo in views billion 7
Unaongea unachokijua au unaongea unachokihisi..

Despacito wanunue views hivi unanunua views YouTube kweli??

Aisee
 
Youtube ni biashara .

Domo ana kawaida ya kupromote nyimbo zake na kununua watazamaji.

Na kwakua keshakua maarufu,, ndio maana unaona Video ya Tembo ilikua imeshikiliwa na Youtub ili isivunje rekodi ya jamaa yao anayetumiaga mamilion ya pesa kwao.


Tembo namkubali leo,kesho nahata milele.
Huu ndio ushabiki maandazi.
 
Back
Top Bottom