Harmonize, hii 'chenchi' ya views laki 4 iwe fundisho kwako kwa mkubwa wako Diamond

Harmonize, hii 'chenchi' ya views laki 4 iwe fundisho kwako kwa mkubwa wako Diamond

Ukweli mchungu ni kwamba upepo anaopita nao Harmo leo ndo upepo alopita nao Kiba

Tanzania hii mashabiki damu wa Mond ni wengi kuliko msanii yeyote yule, na wale wanaomchukia Mond ni wachache kwa idadi ya kuweza kumsimamisha msanii wao mmoja ambaye ni imara wa kushindana na WCB

Wanachofanya ni kuhama kutoka kwa msanii mmoja na kwenda kwa mwingine... Wamemuacha Kiba, sahv hasikiki tena km hapo awali, wamehamia kwa mmakonde! Huyu naye pumzi zikikata watahama

Namnukuu raisi wetu Mama Samia huku nikipachika na maneno yangu
"Ngoma inapigwa na mashabiki huru, inachezwa haters wa Mond na wale minor diehard fans wa msanii husika, harafu wale mashabiki ndakindaki wa Mond ndo madj"

Ni ngumu sana kumshinda huyu jamaa... Mizizi yake ni ya mbuyu, kiangazi kinanyausha majani yake tu na si kuuua! Chainsaw makini km Clouds Media zimegonga mwamba, ndo ataweza mmakonde?
 
Kwa ufupi ungekuwa unachora table ya Maisha yako kama hivi ungekuwa mbali sana.
 
Itoshe tu kusema Tembo anawajambisha!

Ukijituma wanasema unashindana nao, VIBAYA.
 
Kumbe kuna watu wanaamin diamond anawalip youtube [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna watu wanachekesha
 
Youtube ni biashara .

Domo ana kawaida ya kupromote nyimbo zake na kununua watazamaji.

Na kwakua keshakua maarufu,, ndio maana unaona Video ya Tembo ilikua imeshikiliwa na Youtub ili isivunje rekodi ya jamaa yao anayetumiaga mamilion ya pesa kwao.


Tembo namkubali leo,kesho nahata milele.
Akili zenu bwana sijui uwa mnaamini mnayoyaandika.
Katazame videi za akina justin bieber, uone views walionao. Yani youtube wauzie views za harmo kisa diamond?
Akina MKBH tu wanatengeneza pesa ndefu youtube kuliko hawa wasanii wetu.
 
Akili zenu bwana sijui uwa mnaamini mnayoyaandika.
Katazame videi za akina justin bieber, uone views walionao. Yani youtube wauzie views za harmo kisa diamond?
Akina MKBH tu wanatengeneza pesa ndefu youtube kuliko hawa wasanii wetu.
Dimondi na wasafi wanabusti youtube views hiyo michezo walianzia hapa👇🐒🤣
IMG_20210426_212048.jpg
 
Tuambie Diamond baada ya masaa 27 alikua na Ngap na Harmonize alikua na ngap ukwel ni kwamba Harmonize now yuko vizuri.
 
Ukweli mchungu ni kwamba upepo anaopita nao Harmo leo ndo upepo alopita nao Kiba

Tanzania hii mashabiki damu wa Mond ni wengi kuliko msanii yeyote yule, na wale wanaomchukia Mond ni wachache kwa idadi ya kuweza kumsimamisha msanii wao mmoja ambaye ni imara wa kushindana na WCB

Wanachofanya ni kuhama kutoka kwa msanii mmoja na kwenda kwa mwingine... Wamemuacha Kiba, sahv hasikiki tena km hapo awali, wamehamia kwa mmakonde! Huyu naye pumzi zikikata watahama

Namnukuu raisi wetu Mama Samia huku nikipachika na maneno yangu
"Ngoma inapigwa na mashabiki huru, inachezwa haters wa Mond na wale minor diehard fans wa msanii husika, harafu wale mashabiki ndakindaki wa Mond ndo madj"

Ni ngumu sana kumshinda huyu jamaa... Mizizi yake ni ya mbuyu, kiangazi kinanyausha majani yake tu na si kuuua! Chainsaw makini km Clouds Media zimegonga mwamba, ndo ataweza mmakonde?
Aaah! Kipindi hicho kweli vigumu kiba kumumpita ila Sasa hivi anavyoimba matusi asitegemee kuwa watz wote ni wapumbafu wa kushadadia matusi
 
Mimi binafsi wasafi nimesha acha kusikiliza nyimbo kwa sababu ni matusi na ngono tupu hazifaii hata kidogo kwenye jamii. Sijui nyegeze sijui baikoko sijui sukari kweli tz tuna maadui wengi Sana mbali na ujinga na umaskini.
 
Ulisoma shule ya wapi ndugu yangu? Hata km unamchukia mtu ila umezidi
Mtu mwenye views 4.2 kwa masaa 24 (siku 1) yupo sawa na mtu mwenye views 3.8 kwa masaa 48 (siku 2)?
Hii thread yako akija kuona mtoto wako lazima akudharau maana umeandika utopolo wa kiwango cha PHD
PHD ni nini?
 
View attachment 1764073

Ndani ya masaa 24 tu waah ilipata views 4.2 Milioni

View attachment 1764798

Video hii mpya ya attitude ilitoka juzi mda 20:15, leo muda huu inakamilisha masaa 48 kwa views milioni 3.8

View attachment 1764040

DENI LA VIEWS MILIONI 4.2 YA VIEWS ZA DIAMOND ALIZOFIKISHA NDANI YA MASAA 24 HATIMAE LIMEKAMILIKA BAADA YA HARMONIZE KUFIJISHA HIZO VIEWS MILIONI 4.2 BAADA YA MASAA 62 LEO HII MUIA YA SAA NNE ASUBUHI.

View attachment 1764809
Ivi haya mambo huwa yanatokea kwa wasanii wengine tu huko wcb mbona sijawahi yasikia.....
 
Youtube ni biashara .

Domo ana kawaida ya kupromote nyimbo zake na kununua watazamaji.

Na kwakua keshakua maarufu,, ndio maana unaona Video ya Tembo ilikua imeshikiliwa na Youtub ili isivunje rekodi ya jamaa yao anayetumiaga mamilion ya pesa kwao.


Tembo namkubali leo,kesho nahata milele.
Daah umeandika upumbavu mpka mpka nimeona aibu

Yaani YouTube washikilie nyimbo ya mtu
Kisa asimzidi Diamond

Hio kununua viewers umeiskia wapi


Nyie mnatufanya sisi mashabiki wa jeshi tuonekane hatuna akili kwenye hoja kama hizi


Kondegang for every body ...
 
Back
Top Bottom