Harmonize, hii 'chenchi' ya views laki 4 iwe fundisho kwako kwa mkubwa wako Diamond

Ukweli mchungu ni kwamba upepo anaopita nao Harmo leo ndo upepo alopita nao Kiba

Tanzania hii mashabiki damu wa Mond ni wengi kuliko msanii yeyote yule, na wale wanaomchukia Mond ni wachache kwa idadi ya kuweza kumsimamisha msanii wao mmoja ambaye ni imara wa kushindana na WCB

Wanachofanya ni kuhama kutoka kwa msanii mmoja na kwenda kwa mwingine... Wamemuacha Kiba, sahv hasikiki tena km hapo awali, wamehamia kwa mmakonde! Huyu naye pumzi zikikata watahama

Namnukuu raisi wetu Mama Samia huku nikipachika na maneno yangu
"Ngoma inapigwa na mashabiki huru, inachezwa haters wa Mond na wale minor diehard fans wa msanii husika, harafu wale mashabiki ndakindaki wa Mond ndo madj"

Ni ngumu sana kumshinda huyu jamaa... Mizizi yake ni ya mbuyu, kiangazi kinanyausha majani yake tu na si kuuua! Chainsaw makini km Clouds Media zimegonga mwamba, ndo ataweza mmakonde?
 
Kwa ufupi ungekuwa unachora table ya Maisha yako kama hivi ungekuwa mbali sana.
 
Itoshe tu kusema Tembo anawajambisha!

Ukijituma wanasema unashindana nao, VIBAYA.
 
Kumbe kuna watu wanaamin diamond anawalip youtube [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna watu wanachekesha
 
Akili zenu bwana sijui uwa mnaamini mnayoyaandika.
Katazame videi za akina justin bieber, uone views walionao. Yani youtube wauzie views za harmo kisa diamond?
Akina MKBH tu wanatengeneza pesa ndefu youtube kuliko hawa wasanii wetu.
 
Akili zenu bwana sijui uwa mnaamini mnayoyaandika.
Katazame videi za akina justin bieber, uone views walionao. Yani youtube wauzie views za harmo kisa diamond?
Akina MKBH tu wanatengeneza pesa ndefu youtube kuliko hawa wasanii wetu.
Dimondi na wasafi wanabusti youtube views hiyo michezo walianzia hapa👇🐒🤣
 
Tuambie Diamond baada ya masaa 27 alikua na Ngap na Harmonize alikua na ngap ukwel ni kwamba Harmonize now yuko vizuri.
 
Aaah! Kipindi hicho kweli vigumu kiba kumumpita ila Sasa hivi anavyoimba matusi asitegemee kuwa watz wote ni wapumbafu wa kushadadia matusi
 
Mimi binafsi wasafi nimesha acha kusikiliza nyimbo kwa sababu ni matusi na ngono tupu hazifaii hata kidogo kwenye jamii. Sijui nyegeze sijui baikoko sijui sukari kweli tz tuna maadui wengi Sana mbali na ujinga na umaskini.
 
PHD ni nini?
 
Ivi haya mambo huwa yanatokea kwa wasanii wengine tu huko wcb mbona sijawahi yasikia.....
 
Daah umeandika upumbavu mpka mpka nimeona aibu

Yaani YouTube washikilie nyimbo ya mtu
Kisa asimzidi Diamond

Hio kununua viewers umeiskia wapi


Nyie mnatufanya sisi mashabiki wa jeshi tuonekane hatuna akili kwenye hoja kama hizi


Kondegang for every body ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…