Harmonize kavuka mipaka. Mlie karibu na huyu mtu mshaurini vizuri

Anavaa Heleni Jamaa Anaweza Kuwa Pungasese
 
Uzi huu na comment zote humu za kishamba acheni ushamba watanzania
Kwanini mmekaa kujadili maisha ya watu?

Maisha binafsi ya mtu yanakuhusuni Nini
Na kama mnajiona mko sawa sana badilisheni dunia au Tanzania iwe Kama mnavyotaka nyie ni jambo ambalo hamuwezi sasa kwanini mdajadili ujinga
 
Mawazo yangu.

Mwanaume yoyote ambae amekamilika hasawa, yaani rijali la kiafrika hata awe maarufu vipi au awe na pesa vipi, hawezi kutoboa masikio au kusuka.

Wanaume wote wanaosuka na kutoboa masikio nawaona ni kama mashog.a

Haya ni mawazo yangu lakini.

Samahani, naomba nikazie, mwanaume wa kiafrika anayesuka na kutoboa sikio avae heleni mimi namhesabu kama sh.oga tu.
 
VIP sisi wamasai mkuu???
 
Huwezi kuwa msanii bila kufanya mambo ya kike kike? Usanii ni ukikekike? Kama ndio hivyo wakumbuke wanawake wanaingiliwa
 
Unaenda shopping kabisa mnapigana vikumbo na pisi kali kwenye maduka ya urembo kuchagua hereni [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa vijana wa Dar kawaida tu
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…