Harmonize (Konde Boy) usiipe kisogo hadhira iliyokutoa jalalani

Bro hilo ni bonge la JUMBE.KONDE BOI KAMA UPO HUMU LITENDEE KAZI...SIASA NI SIASA AISEEE UTATUMIKA BAADAYE UTATUPWA....ASILI YAKO NI USAFINI USIIHARIBU ASILI AISEEE
 
Izo mil mia 500 mbona mondi ali daiwa na papa misifa baada ya kuvunja mkataba .aka lipa kidgo kidgo kwa makubariano adi ika isha...apo ni miaka ya 2011,12 nazani .. sasa leo wabongo wanaona ajabu sana
 
[emoji109][emoji109][emoji116][emoji116][emoji123][emoji116][emoji116]
Bro hilo ni bonge la JUMBE.KONDE BOI KAMA UPO HUMU LITENDEE KAZI...SIASA NI SIASA AISEEE UTATUMIKA BAADAYE UTATUPWA....ASILI YAKO NI USAFINI USIIHARIBU ASILI AISEEE
 
Hiyo number 7 ni muhimu kwake asipoelewa atajikuta anaenda shimoni diamond ndio amemfanya maarufu nivizuri akamrespect na asikubali kuchonganishwa nae la sivyo atakuwa Kama alikiba wa sasa.
Harmonize ni upepo wa kisulisuli anakoelekea atawasomba wakina Lavalava na Queen Darlin. Hata tulio nje ya Tz tunazipata sifa za huyu kijana kutoka kusini mwa Tanzania.
 
Harmonize ni upepo wa kisulisuli anakoelekea atawasomba wakina Lavalava na Queen Darlin. Hata tulio nje ya Tz tunazipata sifa za huyu kijana kutoka kusini mwa Tanzania.
 
Harmonize ni upepo wa kisulisuli anakoelekea atawasomba wakina Lavalava na Queen Darlin. Hata tulio nje ya Tz tunazipata sifa za huyu kijana kutoka kusini mwa Tanzania.
 
Sikuwahi kujua kuwa mlozi huyu anaweza kuwa mshauri mzuri namna hii!!.. hichi kisulisuli sijui hata nikiiteje!!😂😎
 
Daaahhm maneno mazito sana haya sidhani kama apitaga na huku JF.
 
Konde boy nimefatilia interview zako karibia zote toka ulipotoka wcb...umeonesha heshika kubwa kwa lebo yk iliyokutoa na hujawai kuiprovoke kwa namna yyt ile

Lkn kuna kila dalili kua wcb co wenzko tena na hakuna ht m1 anaekuombea mema.

kwhy move on fanya yak achana na mambo ya kumlamba binadamu mwenzio miguu ht km alikusaidia..

pambana kivyako ukifeli utaanza 1 hakun cha ajabu
 
Wcb wamempotezea sababu alianza sana kiburi na dharau pale mwishoni mpaka management ikasema awe wazi kama anataka kusepa...saiz anajikosha tu
 
Samahani mkuu ulishawahi anguka na ukaanza upya eeh
 
[emoji102][emoji102][emoji102][emoji102][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Sikuwahi kujua kuwa mlozi huyu anaweza kuwa mshauri mzuri namna hii!!.. hichi kisulisuli sijui hata nikiiteje!![emoji23][emoji41]
 
Nyie ndio mtamharibu sasa... Uzuri ni kwamba anajitambua sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…