Tetesi: Harmonize kwa sasa ana hali mbaya kifedha, mpaka nyumba ya Mbezi Beach amehama

Hivi kwa hizi hela wanazotuonyeshaga na tunavyoamini inamana hawawezi kujenga nyumba Kali hata kwa milioni 80 tu hivi!?
 
Nimekuambia hizo ni issue za kughushi. Serikali haifanyi kazi kupitia mitandao.
Acha umbumbumbu ndio maana mnapelekwa mahakamani na na genge lako kwa ushamba huu.
wewe usichekeshe waliolala, unaishi nchi gani wewe? Hizo barua za teuzi za viongozi mbalimbali zinatumwa mtandaoni kupitia kurasa mbalimbali za serikali,wasanii kuitwa Basata, wasanii kupewa adhabu, na mambo mengi tu. Dunia kiufipi ni ya tekinolojia sasa. Mdau anakuambia terehe husika Thomaso wewe uende ukashuhudie mmakonde akibananishwa!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Achana Nae, Juma3 Aje ofsini Kwa M/kiti Wa Mtaa Ashuhudie [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hazitumwi na wambea.
Zinatumwa na chanzo halali cha habari.
Nenda shule kwanza uwezo wako wa kufikiri ni mfupi. Au tukupeleke Hospital ya Mirembe Dodoma!?
 
Hazitumwi na wambea.
Zinatumwa na chanzo halali cha habari.
Nenda shule kwanza uwezo wako wa kufikiri ni mfupi. Au tukupeleke Hospital ya Mirembe Dodoma!?
Kwahiyo ulivyosema serikali haifanyi kazi mtandaoni ulikuwa una maana gani Thomaso weweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Eti Thomaso Wewe
Jamaa ana element za u Thomaso. Halafu ana ubishi wa kijinga Yani kwakua hapendi kusikia kitu kibaya kumuhusu mtu wake. Taarifa atakayoipokea yeye ni nzuri tu hata Kama ni uongo atakubali.
 
Duh. Pole sana Rajab, maisha magumu sana aisee. Mi sio Konde Gang ila siwezi muombea mtu njaa ambae sina ata bifu nae afu ameajiri vijana kama 50+ hivi.
 
Jamaa ana element za u Thomaso. Halafu ana ubishi wa kijinga Yani kwakua hapendi kusikia kitu kibaya kumuhusu mtu wake. Taarifa atakayoipokea yeye ni nzuri tu hata Kama ni uongo atakubali.
Jamaa Ana akili Mbovu Kama Mwijaku [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…