Trick mirik
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 555
- 1,290
Mbona hii nyumba kama yq eng Usiri wa SIGARAAlikokuwa anakaa Njomba ChumaliView attachment 1754569
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hii nyumba kama yq eng Usiri wa SIGARAAlikokuwa anakaa Njomba ChumaliView attachment 1754569
Ndio Alikuwa Kapanga HapoMbona hii nyumba kama yq eng Usiri wa SIGARA
🤣🤣🤣Huo ndo urijali sasa, rijali sharti adaiwe, akimbie deni, mara kalipa, mara vile ili mradi purukushani,
Ukihama hapo kwa shemeji yako ndio utajua maana halisi ya maisha ya rijali.
Tuliambawa Marehem K ni milionea...baada ya msiba kumbe ana Noah na camera..Hivi kwa hizi hela wanazotuonyeshaga na tunavyoamini inamana hawawezi kujenga nyumba Kali hata kwa milioni 80 tu hivi!?
Thomaso. Si kwa mahaba haya.Hizi barua za kughushi tunazijua. Wewe ni mgeni hapa mjini kibamia wewe.
Sasa unataka unipangie cha kufanya!? Mimi huwa sipendi matapishi na umbea wa wanaume.Thomaso. Si kwa mahaba haya.
wewe usichekeshe waliolala, unaishi nchi gani wewe? Hizo barua za teuzi za viongozi mbalimbali zinatumwa mtandaoni kupitia kurasa mbalimbali za serikali,wasanii kuitwa Basata, wasanii kupewa adhabu, na mambo mengi tu. Dunia kiufipi ni ya tekinolojia sasa. Mdau anakuambia terehe husika Thomaso wewe uende ukashuhudie mmakonde akibananishwa!😂😂😂😂Nimekuambia hizo ni issue za kughushi. Serikali haifanyi kazi kupitia mitandao.
Acha umbumbumbu ndio maana mnapelekwa mahakamani na na genge lako kwa ushamba huu.
Achana Nae, Juma3 Aje ofsini Kwa M/kiti Wa Mtaa Ashuhudie [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wewe usichekeshe waliolala, unaishi nchi gani wewe? Hizo barua za teuzi za viongozi mbalimbali zinatumwa mtandaoni kupitia kurasa mbalimbali za serikali,wasanii kuitwa Basata, wasanii kupewa adhabu, na mambo mengi tu. Dunia kiufipi ni ya tekinolojia sasa. Mdau anakuambia terehe husika Thomaso wewe uende ukashuhudie mmakonde akibananishwa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo ndo urijali sasa, rijali sharti adaiwe, akimbie deni, mara kalipa, mara vile ili mradi purukushani,
Ukihama hapo kwa shemeji yako ndio utajua maana halisi ya maisha ya rijali.
😂 😂 😂Tumekusikia rayvan
Hazitumwi na wambea.wewe usichekeshe waliolala, unaishi nchi gani wewe? Hizo barua za teuzi za viongozi mbalimbali zinatumwa mtandaoni kupitia kurasa mbalimbali za serikali,wasanii kuitwa Basata, wasanii kupewa adhabu, na mambo mengi tu. Dunia kiufipi ni ya tekinolojia sasa. Mdau anakuambia terehe husika Thomaso wewe uende ukashuhudie mmakonde akibananishwa!😂😂😂😂
Kwahiyo ulivyosema serikali haifanyi kazi mtandaoni ulikuwa una maana gani Thomaso wewe😂😂😂😂Hazitumwi na wambea.
Zinatumwa na chanzo halali cha habari.
Nenda shule kwanza uwezo wako wa kufikiri ni mfupi. Au tukupeleke Hospital ya Mirembe Dodoma!?
Eti Thomaso WeweKwahiyo ulivyosema serikali aifanyi kazi mtandaoni ulikuwa una maana gani Thomaso wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa ana element za u Thomaso. Halafu ana ubishi wa kijinga Yani kwakua hapendi kusikia kitu kibaya kumuhusu mtu wake. Taarifa atakayoipokea yeye ni nzuri tu hata Kama ni uongo atakubali.Eti Thomaso Wewe![]()
Jamaa Ana akili Mbovu Kama Mwijaku [emoji3][emoji3][emoji3]Jamaa ana element za u Thomaso. Halafu ana ubishi wa kijinga Yani kwakua hapendi kusikia kitu kibaya kumuhusu mtu wake. Taarifa atakayoipokea yeye ni nzuri tu hata Kama ni uongo atakubali.