Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
- Thread starter
- #101
Angalia nan anazurura international, huko kote dogo anazoa lot of dollars sio show za humu vijijini , unasimama kwenye mathearter ya Dubai , harmo anazurura tuu humu , workhard hata hela Hamna , wala haihtjai mabishano kwenye hiliOnline streaming unazohadithiwa kwa sasa zimebuma toka ametangaza kutoka wachafu, halafu kuboost ndio unaona imekuja colaboration na boss wake lakini kiuhalisia harmo kaweza kusimama na kuzoa kijiji chake wakati vanilla hana kijiji wala mtaa wake huo ndio ukweli, product gani vanny kasimama peke yake toka atangaze kutoka wasafi imetoboa?