Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huamini amesema nenda basata , ukashuhudie waliburuzana na diamond mwenyewe , na imemgharimu Sana Ray-vanny kutoka ,Wewe mkuu kwa akili yako unaamini anaweza kulipa B????kuna mambo hupaswi hata kutumia miwani kujua.
Mkuu Billion hela nyingi sana,jaman tuache masihara ndugu zangu
Wewe mkuu kwa akili yako unaamini anaweza kulipa B????kuna mambo hupaswi hata kutumia miwani kujua.
Mkuu Billion hela nyingi sana,jaman tuache masihara ndugu zangu
Rayvan bila kufanya collabo na Diamond hana tofauti na Bonge la nyau
Halina ubishi kwenye paranawe rayvan alifunikwa mnoKwenye uimbaji vanny asimame peke yake na mvuta bange peke yake, kilandage anamtoa vanny mapema tu hilo hatubishi
Hahaha nimejikuta nachrka kwa nguvuLugha yao imefanana mno na kingereza
Kwenye point kaweka point amezungumzia Pombe, Mimi nipo upande wake kwenye hilo la pombe nimekuelewa HarmonizeSijawai muelewa harmonize hata kidogo
Huelewi ngoma za wakazi Wala siyo kosa lako. Ni kosa la mipumulio.Hivi uyo wakazi anaimba nini? Au ni mchambuzi wa maswala ya muziki?