Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Yule jamaa sijui huwa ana kipele..much know sana yude dada WAKAZITushawachoka, ila kama kawa lazima Wakazi atachambua na hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule jamaa sijui huwa ana kipele..much know sana yude dada WAKAZITushawachoka, ila kama kawa lazima Wakazi atachambua na hili.
Asa humeandika nn himenishangasaHawo ni akina nani mimi siwajuhi, watu mnahohishi Daslamu mnatuchanganya sisi tunahotoka uku mikohani.
Umehona hee ata wewe, mm nimikuja kushangaa hawo watu sisi watu wa kutoka mikohani wala atuwajuhi kabisa.Asa humeandika nn himenishangasa
Uandishi wako unakarahisha.Umehona hee ata wewe, mm nimikuja kushangaa hawo watu sisi watu wa kutoka mikohani wala atuwajuhi kabisa.
Konde kafaidi zaidi maana kala wote mama na mtotonajiuliza tu sipati jibu, nani kafaidi zaidi, aliyekula mama ama mtoto ?
Duh! Your aged?Mim sijaelewa hawa vijana wa usafin na umakondeni wanaimba nini..bora kuna kijana kaimba 'pita huku'kidogo kanishawish kumsikiliza
Yeah ..some how..am 50'sDuh! Your aged?
Majirani wa bulugala,mlange,nyarioba....msalimie Mzee Mbi.....liKijiji Cha itogwang'olo,Tanganyika mkuu.
Sababu ni kwamba JF ina watu wenye uwezo wa kuchanganua ukweli tofauti na Instagram kulikojaa crazy senseless fanatics, wengi wetu humu hatuna account Instagram wala Facebook.Nilichogundua kwenye jamhuri ya jf mmakonde mwenzangu hafagiliwi sana...ila kwenye jamhuri ya Instagram na mitaani kondeboy ana nguvu zaidi ya serikali. Uchukue huu ukweli au uukatae utajua mwenyewe.
Hahahahah uandishi wa Maalim Nash MC kule Instagram, huwa nacheka sana nami nikaona acha nijaribu kuutumia kidogo.Uandishi wako unakarahisha.
Sio Ali kiba tena, anyway Kwa ushawishi Sawa kabisa Ila harmo hakutengenezewa mirija ya kupiga pesa kama Ray-vanny, harmonize ana swaga Sana na anapambana Sana , na ana ushawishi kuliko mnyakyusa but dogo wa mbeya mirija ya pesa Iko strong kuliko harmo...anatengeneza fedhaSasa hyo bilioni 1.3 analinganisha kwa milioni 600 kwa kuangalia nini?
Muda waliotoka kwny label?
Thamanni ya video alizotoa akiwa kwny label mpk anatoka
Dollar inapanda kila uchwao yy katoka lini na Harmo katoka lini?
Rayvanny akubali tuu hana damu ya kupendwa na kuwa recognised kama Harmo..na hyo BET yake still ni kama underdog tuu mpk ufunue mafail...
Baada ya Dimond ni Harmonise kwa ushawishi...ukitaka chukua
Ni ngumu sana kuusoma.Hahahahah uandishi wa Maalim Nash MC kule Instagram, huwa nacheka sana nami nikaona acha nijaribu kuutumia kidogo.
Sio Ali kiba tena, anyway Kwa ushawishi Sawa kabisa Ila harmo hakutengenezewa mirija ya kupiga pesa kama Ray-vanny, harmonize ana swaga Sana na anapambana Sana , na ana ushawishi kuliko mnyakyusa but dogo wa mbeya mirija ya pesa Iko strong kuliko harmo...anatengeneza fedha
😄😄 Zimefika mkuu.Majirani wa bulugala,mlange,nyarioba....msalimie Mzee Mbi.....li