Vanny ana akili sana na anajitambua
Nae ni wale wale tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vanny ana akili sana na anajitambua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had machoziiii.Mashoga wa Dar wakishogeshana.
Kwa kifupiii hawa hawastuiii tenaa, wakae watulize kende chini watoe ngoma kali.
Ajabu wanaume rijali wana chambana hivi, sasa mashoga na wanawake wafanyaje???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wote ni hamnazo tyuuh. Wameishiwaa yaan.Njomba nchumali anatamaa sana japo vanny nae ni madogo wajinga pia lakini kamshinda akili huyo mabange
Wewe mkuu kwa akili yako unaamini anaweza kulipa B????kuna mambo hupaswi hata kutumia miwani kujua.Kwahiyo rayvany alilipa 1.3bilion, wakati harmo njomba nchumari alilipa 600milion vilio miaka yote harmo mjinga sana
Uwezo wako wa kufikiri ndipo ulipo ukomo wa mafanikio yako.Wewe mkuu kwa akili yako unaamini anaweza kulipa B????kuna mambo hupaswi hata kutumia miwani kujua.
Mkuu Billion hela nyingi sana,jaman tuache masihara ndugu zangu
Kwanini Harmo ana ngoma ipi kali , zaidi ya hii intro yake ya kujikoholesha tangu aitwe mfuta mibange.Rayvanny ana ngoma gani hit song toka atoke wcb tukiacha hii aliyomshirikisha Mondi?
Sasa boro we la nn mkuu[emoji51]Embu wekeni Hilo boro la yule kijanaanayejitamba kumiliki mashine kubwa wakt wenye mashine
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kaka unataka kuona dhakari ya mwenzio 🙄🤔😳Embu wekeni Hilo boro la yule kijanaanayejitamba kumiliki mashine kubwa wakt wenye mashine
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hawa kama mabinti wa miaka 18-20Wakati tuhuma za kumtorosha mke wa manara kule Dubai na Kisha kumtembezea rungu pale konde village zikiwa bado hazijapoa , Harmonize a.k a konde boy mnyama amejikuta kwenye vita nzito na boss wa next level music Ray-vanny ,
Harmonize kupitia instastory amewashauri wasanii waachane na nyimbo za kusifia pombe , pamoja na kucopy amapiano ambazo hazina ladha badala yake watengeneze hitsong bila masuala ya pombe kwani wanywa pombe ni wachache kuliko wasiokunywa , na hvyo ni ngumu Kwa nyimbo kwenda long mileage,
View attachment 2483847
Bila kupoteza mda Ray-vanny kupitia instastory amemshukia vikali Harmonize na kujieleza kuwa akae Kwa kutulia Kwan Hana hitsong yyte ya pombe so Hana haki ya kubwabwaja ......
View attachment 2483848
Bila kupoteza mda konde boy naye akamshukia vikali kijana wa mbeya na kumsihi apunguze chuki kwani yeye mbali na kusababisha rungu lake kubwa kusambaa Kwa wanazengo anatakiwa atambue kuwa yeye alitoka na jimama la haja wakat yeye akihangaika na kibinti 😁
View attachment 2483849
Hata hvyo harmonize amemwambia Ray-vanny kuwa anampenda na hvyo ajiandae kusikiliza mziki mzuri Ijumaa , huku akimsihi Ibra asijibu chochote
View attachment 2483852
Note: Bifu ndo linachangamsha mziki