Harmonize na Rayvanny, ni vita ya maneno mwanzo mwisho

Harmonize na Rayvanny, ni vita ya maneno mwanzo mwisho

Vanny amejua kumnyoosha mtu kwa facts. Yani harmonize english yake ni zaidi ya broken. Kweli bangi mbili anajikuta 2pac[emoji23]
 
Kwa kifupiii hawa hawastuiii tenaa, wakae watulize kende chini watoe ngoma kali.

Ajabu wanaume rijali wana chambana hivi, sasa mashoga na wanawake wafanyaje???

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa kifupiii hawa hawastuiii tenaa, wakae watulize kende chini watoe ngoma kali.

Ajabu wanaume rijali wana chambana hivi, sasa mashoga na wanawake wafanyaje???

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Njomba nchumali anatamaa sana japo vanny nae ni madogo wajinga pia lakini kamshinda akili huyo mabange
 
Njomba nchumali anatamaa sana japo vanny nae ni madogo wajinga pia lakini kamshinda akili huyo mabange
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wote ni hamnazo tyuuh. Wameishiwaa yaan.
 
20230117_093349.jpg
 
chui aache ujinga wake......konde sio size yake kabisa akabishane na akina mr nice uko
 
Wakati tuhuma za kumtorosha mke wa manara kule Dubai na Kisha kumtembezea rungu pale konde village zikiwa bado hazijapoa , Harmonize a.k a konde boy mnyama amejikuta kwenye vita nzito na boss wa next level music Ray-vanny ,

Harmonize kupitia instastory amewashauri wasanii waachane na nyimbo za kusifia pombe , pamoja na kucopy amapiano ambazo hazina ladha badala yake watengeneze hitsong bila masuala ya pombe kwani wanywa pombe ni wachache kuliko wasiokunywa , na hvyo ni ngumu Kwa nyimbo kwenda long mileage,

View attachment 2483847

Bila kupoteza mda Ray-vanny kupitia instastory amemshukia vikali Harmonize na kujieleza kuwa akae Kwa kutulia Kwan Hana hitsong yyte ya pombe so Hana haki ya kubwabwaja ......

View attachment 2483848

Bila kupoteza mda konde boy naye akamshukia vikali kijana wa mbeya na kumsihi apunguze chuki kwani yeye mbali na kusababisha rungu lake kubwa kusambaa Kwa wanazengo anatakiwa atambue kuwa yeye alitoka na jimama la haja wakat yeye akihangaika na kibinti 😁
View attachment 2483849


Hata hvyo harmonize amemwambia Ray-vanny kuwa anampenda na hvyo ajiandae kusikiliza mziki mzuri Ijumaa , huku akimsihi Ibra asijibu chochote

View attachment 2483852
Note: Bifu ndo linachangamsha mziki
Hawa kama mabinti wa miaka 18-20
 
Back
Top Bottom