Harmonize ni mbumbumbu wa sheria, mchanga wa mahusiano na mshamba bado wa umaarufu

Harmonize ni mbumbumbu wa sheria, mchanga wa mahusiano na mshamba bado wa umaarufu

Naona umetumwa na Diamond. Sasa Harmonize kwani yeye ni mwanasheria!?

Mtaenda kuyaeleza hayo mahakamani. [emoji3] [emoji3] Mshana endelea na fictional stories kuhusu uchawi na mazimwi.

Mambo ya sheria waachie wanasheria.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Taratibu tunaanza kuipa kisogo bongofleva mara nyingi nikiwa peke yangu huwa nasikiliza muziki kusaka usingizi na miaka 2 nyuma nilikuwa nasikiliza bongofleva siku za hivi karibuni nasikiliza waganda, wanaijeria ama yule mgabon Oliver ngoma Yani miziki ya miaka hiyo na naenjoy kweli kuliko kuwasikiliza hao vinuka boksa
 
Remmy ongara muziki asili yake wapi, unapata ladha za super matimila, unakonyeza kidogo usipate taabu neema ya rafiki yake, unaenjoy utunzi wa akina bichuka, Shabani dede, unatembea kidogo kusikiliza vocal za Tx moshi wiliam, ukipita kwa kina Kilwa jazz, vijana jazz, baadae unatembea kwa akina franco, huku ukiisikiliza leyle, unawapata akina wenge kidogo, unajimwaga kwa akina oliva mutukuzi hasa kwenye neria then unatafuta sehemu ya kupata nyama choma unaachana na wazushi akina harmo.
Ottu jazz, tabora jazz, Les Wanyika, Baraka Mwinshehe kisha unamalizia na twist za Daud Kabaka....
 
Taratibu tunaanza kuipa kisogo bongofleva mara nyingi nikiwa peke yangu huwa nasikiliza muziki kusaka usingizi na miaka 2 nyuma nilikuwa nasikiliza bongofleva siku za hivi karibuni nasikiliza waganda, wanaijeria ama yule mgabon Oliver ngoma Yani miziki ya miaka hiyo na naenjoy kweli kuliko kuwasikiliza hao vinuka boksa

Kwenye zipu kuna kirungu, ukikamata utawaita wazungu![emoji39]
 
Taratibu tunaanza kuipa kisogo bongofleva mara nyingi nikiwa peke yangu huwa nasikiliza muziki kusaka usingizi na miaka 2 nyuma nilikuwa nasikiliza bongofleva siku za hivi karibuni nasikiliza waganda, wanaijeria ama yule mgabon Oliver ngoma Yani miziki ya miaka hiyo na naenjoy kweli kuliko kuwasikiliza hao vinuka boksa
hapo kwa oliva ngoma ni balaa jingine
hebu nipe ngoma zake 2
 
Back
Top Bottom