Harmonize ni mbumbumbu wa sheria, mchanga wa mahusiano na mshamba bado wa umaarufu

Harmonize ni mbumbumbu wa sheria, mchanga wa mahusiano na mshamba bado wa umaarufu

kupitia sakata hili nimegundua haya
hata wale tuliokuwa tunawaheshimu humu na kuwaona kama kaka zetu katika kutupa miongoza ya maisha nao pia tulitegemea watoe miongozo yenye kuonesha wapi penye nyufa ,
lakini matpkeo yake ndio wameongoza kuongea pumba na mashudu
na wako biased sana mpaka imekuwa kero
halafu hizi nyuzi za kumuongelea mmakonde kila dakika, kwani hakuna mambo mengine ya kuongea humu celebrity?

imekuwa too much
mfano kama hii
 
kupitia sakata hili nimegundua haya
hata wale tuliokuwa tunawaheshimu humu na kuwaona kama kaka zetu katika kutupa miongoza ya maisha nao pia tulitegemea watoe miongozo yenye kuonesha wapi penye nyufa ,
lakini matpkeo yake ndio wameongoza kuongea pumba na mashudu
na wako biased sana mpaka imekuwa kero
halafu hizi nyuzi za kumuongelea mmakonde kila dakika, kwani hakuna mambo mengine ya kuongea humu celebrity?

imekuwa too much
Hakuna kaka yako umu JF usijipe undugu na watu usiowajua na wasiokujua. Fanya yako kisha sepa hakuna anaejali uwepo wa yoyote umu. Mmakonde ni mwanga sana acha anyooshwe watanzania wamemchukia kwa matendo yake.
 
kupitia sakata hili nimegundua haya
hata wale tuliokuwa tunawaheshimu humu na kuwaona kama kaka zetu katika kutupa miongoza ya maisha nao pia tulitegemea watoe miongozo yenye kuonesha wapi penye nyufa ,
lakini matpkeo yake ndio wameongoza kuongea pumba na mashudu
na wako biased sana mpaka imekuwa kero
halafu hizi nyuzi za kumuongelea mmakonde kila dakika, kwani hakuna mambo mengine ya kuongea humu celebrity?

imekuwa too much
mfano kama hii
Unaongelea Mshana Jr kuwa ni kaka yako. Duh!! Huyu mbona dishi limeyumba!? Jaribu kufikiri mpaka sasa anaishi kwa Dada yake unategemea utapata mawazo ya maana.

Dada yake akitimuliwa na yeye wote wanatimuliwa.
 
Hakuna kaka yako umu JF usijipe undugu na watu usiowajua na wasiokujua. Fanya yako kisha sepa hakuna anaejali uwepo wa yoyote umu. Mmakonde ni mwanga sana acha anyooshwe watanzania wamemchukia kwa matendo yake.
wapo wengine tunajuana nao na kufahamiana nao kikaribu zaidi labda wewe

kama hutaki sikulazimishi
 
Unaongelea Mshana Jr kuwa ni kaka yako. Duh!! Huyu mbona dishi limeyumba!? Jaribu kufikiri mpaka sasa anaishi kwa Dada yake unategemea utapata mawazo ya maana.

Dada yake akitimuliwa na yeye wote wanatimuliwa.
Hadi unaongea anaishi Kwa Dada yake, Unamfahamu lakini au umeamua kuchambia Gunzi Bila tahadhali?
 
Unalaumu nyuzi za kumuongelea konde ilihali nawe umefungua uzi wa kumuongelea[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
hujaelewa
nimeweka wazi kwanini tusiweke mengine haya tuachane nayo?
 
Tz bado kuna kundi kubwa la wajinga na ndio wanakwamisha sana maendeleo kwa kiasi kikubwa sana ili tupate mafanikio lazma tupunguze wajinga sasa kama kioo cha jamii alafu anakuwa mharibu jamii si hatari [emoji2365].
 
Ndugu Mshana Jr, kwa heshima uliyo nayo hapa JF, kweli ulikua na haja yoyote kuleta hayo mambo ya hovyo hapa?
Lugha kama hizo na jumbe(sijui uwingi wa ujumbe) kama hizo ni mara ya kwanza kuziona?
Sidhan kama ulikua na haja ya kuleta hizo propaganda hapa, ulitakiwa uwe neutral,lakini andiko lako lina biasness, kuonesha kuna upande unaushabikia!
Kimsingi kama ushamba hakuna asiye mshamba na kama kutojua sheria, hakuna aliye mkamilifu, inategemea sheria umeichukuliaje kuifasiri na ukaeleweka kwa wasimamia sheria, nje ya hapo kila mtu ni layman kwenye sheria.

Dogo kaachia hii:

 
Back
Top Bottom