Harmonize ni mbumbumbu wa sheria, mchanga wa mahusiano na mshamba bado wa umaarufu

Naona umetumwa na Diamond. Sasa Harmonize kwani yeye ni mwanasheria!?

Mtaenda kuyaeleza hayo mahakamani. [emoji3] [emoji3] Mshana endelea na fictional stories kuhusu uchawi na mazimwi.

Mambo ya sheria waachie wanasheria.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Taratibu tunaanza kuipa kisogo bongofleva mara nyingi nikiwa peke yangu huwa nasikiliza muziki kusaka usingizi na miaka 2 nyuma nilikuwa nasikiliza bongofleva siku za hivi karibuni nasikiliza waganda, wanaijeria ama yule mgabon Oliver ngoma Yani miziki ya miaka hiyo na naenjoy kweli kuliko kuwasikiliza hao vinuka boksa
 
Ottu jazz, tabora jazz, Les Wanyika, Baraka Mwinshehe kisha unamalizia na twist za Daud Kabaka....
 

Kwenye zipu kuna kirungu, ukikamata utawaita wazungu![emoji39]
 
hapo kwa oliva ngoma ni balaa jingine
hebu nipe ngoma zake 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…