Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Huyu mziki ushamshinda,album inafanya vibaya.

Sasa Diamond kama angetaka kila siku kuwa yy.

Kaanzisha lebo ambayo imemtoa yy.
Kampeleka nje kufanya video kubwa.
Kamkutanisha na wasanii wakubwa Africa.
Kamtoa Rayvanny mpaka kufikia hatua ya Colabo na Maluma na kuchukua BET,Tz hii Rayvanny ndiye mwenye nyimbo yenye streams nyingi, kapiga show jukwaa la essence, mafanikio ambayo Diamond hajawahi kuya fikia.

Angeamua kuto kuanzisha label tusinge mjua na Diamond ni mfanyabiashara, always ana angalia faida na label zote duniani zina angalia faida, hata yy na JembeniJembe wanaangalia faida.

Yeye mwenyewe kuimba aliambiwa hajui, Diamond kakaa nae zaidi ya miaka mitatu, akimfundisha na kumpika kimuziki na kuna watu walimwambia hajui kuimba ila Mondi hakukata nae tamaa, kula,kuvaa na kulala kwa Diamond.

Anadai WCB walikuwa wana muogopa yy, haya leo zaidi ya miaka miwili nje ya WCB, yupo yy peke yake,free habanwi je kafika wapi,kampita Diamond?Anapata airtime ktk media zote kubwa zilizo kuwa hazipigi nyimbo zake.

Halafu haja tuambia wasanii wake wanapata kiasi gani, mikataba yao miaka mingapi,wana miaka miwili hawa heleweki wanafanya nini.
Funga kazi
 
Diamond sio mkunjaji bali vita yake kapigana mwenyewe hamna msanii aliye msaidia wa kumtetea kipindi ambacho apewi airtime na radio tatu.

Leo Diamond bila kuwa na roho ngumu, mziki angekuwa kishaacha kama Suma G na Ramadee.
Umeongea point nzuri Sana kipindi diamond anapigwa vita na media house hapa nchini, alikosa mtetezi bora hata mmakonde anapata sympathy ya mashabiki wake.

Lakini ana roho ya korosho kama yetu watu kigoma, manyimbo yake yamejaa diss, kejeli na kujitutumua ndio maana anaonekana kituko kupigana na kivuli chake mwenyewe
 
Diamond sio mkunjaji bali vita yake kapigana mwenyewe hamna msanii aliye msaidia wa kumtetea kipindi ambacho apewi airtime na radio tatu.

Leo Diamond bila kuwa na roho ngumu, mziki angekuwa kishaacha kama Suma G na Ramadee.
Kwahiyo yeye ni Papa sawa
Iweje amkunjie dogo samaki Harmo? Nini kama sio roho ya kukunja? Harmo ana effects gani kwake?
 
Kwahiyo yeye ni Papa sawa
Iweje amkunjie dogo samaki Harmo? Nini kama sio roho ya kukunja? Harmo ana effects gani kwake?
Kamkunjia vip,sasa hivi yupo free habanwi, anapata airtime ya kutosha Clouds, EFM, EATv ambazo Diamond hapati, sasa ana mkunjia vipi.

Kama anajiona hasongi mbele awaulize anao wa manage, Diamond kajitengeneza system yake mwenyewe na watu wake kusukuma kazi zake, baada ya kutengwa na media pamoja na wasanii wenu.
 
Hiyo vita mmakonde mchanga sana he has no match with diamond the dude is very strategic. Anachokifanya mmakonde ni ujinga tu kwa sababu vita anaeweka wazi hivyo inaweza kumplekea kukosa baadhi ya madili ya ndani. Mashabiki zake mpeni ushauri mwamba mbinu anazotumia kuua character ya mondi utamchafua yeye hata kama ana haki
[emoji16][emoji16]kama ipo IPO tu kwa maadili gani aliyonaya diamond!! Hebu hukooo
 





Mwanamuziki wa kizazi kipya, Harmonize afunguka kuhusu mkataba alioingia na WCB amesema alikuwa akipewa 40% ya mapato yoyote anayoingiza na WCB kuchukua 60% ameamua kuelezea hayo yote kutokana na watu kuwa dhana ya kwamba yeye ni msaliti. Amesema alifanyiwa fitna nyingi zilizopelekea yeye kuondoka kwenye record label hiyo.

Amesema management nzima ya WCB walikuwa wanamuogopa yeye (Harmonize) kwamba anaelekea kumshinda Diamond Platnumz kimuziki, amenongezea pia baba yake Harmonize alivyokuwa akija kumtembelea nyumbani WCB walikuwa wanasema kwamba alikuwa anakwenda kumroga Diamond.

Harmonize ameongezea pia alikwenda Nigeria kwa gharama zake kufanya collabo na Reekado Banks nchini Nigeria na akakatwa dola 5000 na WCB. Alipoona fitna zimezidi alijaribu kutafuta amani lakini ilishindikana, amesema mkataba wake na WCB alishauriwa na Joseph Kusaga kwamba akitafuta mwanasheria asingelipa chochote lakini hakutaka kupambana kwa njia hiyo na akaamua kulipa hela tu (Milioni 600) ili tu kupata amani.

Huyu kibwengo kweli tulijua hao nyoko vibwengo akina kusaga wameshiriki kwenye fitina, huyu kidampa akili matope kabisa, alikuwa sisimizi tu huyu tena akiwa mchafu kama zombi. Hata ujitetee vipi mmakonde huaminiki na umedhihirisha kwa vitendo na upopoma wazi.
 
Kamkunjia vip,sasa hivi yupo free habanwi, anapata airtime ya kutosha Clouds, EFM, EATv ambazo Diamond hapati, sasa ana mkunjia vipi.
Mbona unakwepa kwepa rejea interview hiyo yaliyongelewa au huna bando?😁😁🙌🏾
 
Ni mara yangu ya kwanza kumsikiliza akiongea muda mrefu namna hii, nilichogundua kwake anajua kujieleza tofauti na wasanii wengi.

Hata kama nyimbo zake si nzuri kuzidi za Diamond mshirika na boss wake wa zamani na mshindani wake wa sasa katika muziki, kwa namna anavyoongea ni MUUNGWANA na watu wengi nadhani wanamuhukumu pasi kujua uhalisia wa mambo.
Shida walidhani baada ya kutoka WCB dogo atafeli but he proved then wrong...totally completely ndo kinawauma...hatusemi kondeboi ana mafanikio kuwazid WCB wote but anajitahidi na yuko kwenye ramani za mziki pia!!wanasema hakijulikani anachoimba...huku wanakoti songi zake!

Yeye apambane tu Atafika ingawa sio kama kwa Mondi but he can sustain for living
 
Hizi Story zimepitwa na wakati si mlisema hatomaliza mwaka nje ya hiyo lebel ya majizi?

Huu ni mwanzo tu endeleeni kujipooza hivyo hivyo
Uwe unaelewa basi mbona kichwa ngumu hivyo.

Mziki ni vita kwa sababu kuna ushindani mkubwa sokoni, dogo kutoka kwenye macamera na kuanza kulia ni dalili ya kushindwa bro, mmakonde ni kiongozi wa label anaanza kulialia, nampa credit diamond coz anajua mbinu nzuri za kufanya fitina yaana king'ata na kupuliza , acha ushabiki maandazi toa ushauri na maoni sio kujiaminisha
 
Ni mara yangu ya kwanza kumsikiliza akiongea muda mrefu namna hii, nilichogundua kwake anajua kujieleza tofauti na wasanii wengi.

Hata kama nyimbo zake si nzuri kuzidi za Diamond mshirika na boss wake wa zamani na mshindani wake wa sasa katika muziki, kwa namna anavyoongea ni MUUNGWANA na watu wengi nadhani wanamuhukumu pasi kujua uhalisia wa mambo.
Harmonize mwenyewe nilikuwa namdharau sana, ila baada ya interview ya leo, kisha nikaunganisha na interview ya Ommy Dimpoz naye kuhusu Diamond..
Harmonize yupo smart sana
 
Mbona unakwepa kwepa rejea interview hiyo yaliyongelewa au huna bando?😁😁🙌🏾
Ni rejee nini mimi nimemsikiliza, sijaona alipo kunjiwa upo free una kunjiwa vipi,fanya mziki then acha number ziongee na si kelele.
 
Hizi Story zimepitwa na wakati si mlisema hatomaliza mwaka nje ya hiyo lebel ya majizi?

Huu ni mwanzo tu endeleeni kujipooza hivyo hivyo
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16][emoji16]ahsante studioo!
 
Shida walidhani baada ya kutoka WCB dogo atafeli but he proved then wrong...totally completely ndo kinawauma...hatusemi kondeboi ana mafanikio kuwazid WCB wote but anajitahidi na yuko kwenye ramani za mziki pia!!wanasema hakijulikani anachoimba...huku wanakoti songi zake!
Yeye apambane tu Atafika ingawa sio kama kwa Mondi but he can sustain for living
Kinawauma kipi?
 
Huyu kibwengo kweli tulijua hao nyoko vibwengo akina kusaga wameshiriki kwenye fitina, huyu kidampa akili matope kabisa, alikuwa sisimizi tu huyu tena akiwa mchafu kama zombi. Hata ujitetee vipi mmakonde huaminiki na umedhihirisha kwa vitendo na upopoma wazi.
Povuu!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]!!!mnateseka wamanyema,waha na wanyaki mkiwa wapii?!!![emoji125][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]!!
Kondeboi for everebodeeee!!!
 
[emoji16][emoji16]kama ipo IPO tu kwa maadili gani aliyonaya diamond!! Hebu hukooo
Acha kujifanya mjinga basi wakati ukweli unaujua kuwa mziki ni biashara nzuri tu ndio maana kuna chuki na visasi.

Nampa credit diamond anajua namna ya kufanya hujuma huku akiendelea kulinda celebral character yake. Alichokiongea harmonaize sio wote watakaoamini hivyo anajishusha ni kama vile anaomba amani vita imemzidia
 
Back
Top Bottom