reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Kinawachonyotaa mlitaka afulie kama Mavoko nyie chawa wa WCB mnaumwa na maboss wenu ..!!dogo hajafika hukoo ila anajikongoja mdogo mdogo habari hapati!Kinawauma kipi?
Mmakonde wa Chitoholi,Tandahimbaaaa..Ntwaaara 1 hyooo!!
Nawaambia mtasanda tuu!!mumuache baba Zuu!
Kama Kigoma kuna Ziwa Tanganyika sasa Mtwara kuna Bahari ya Hindi..Kote kuna maji...[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]ukisogea Msumbiji..Kigoma ukisogea Congo...
Kama Mondi anajua kuroga kwa mbele basi Harmo ataroga kwa nyuma![emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji1]Vinaumanaa tyuuu!!!