Hii nilikuwa nakujibu hapa..Wacha wee...
Kwahiyo tukianza kuzungumzia uwezo wa akina Aslay utataka tumlinganishe na akina Chris Brown, au?!
We sio mzima hata unachoandika sielewi haya mkumbatie bwana wako Diamond maana kila akikoselewa mshipa wa kalio lako una simamaKwani ili msanii mpk afanye mziki mzuri hapa nchini Tanzania inabidi afanye kitu gani special, au afike level gani?, au apate mafanikio gani? Ili tuseme amefanya vizuri kwenye mziki
What are qualities of a good musician/Artist
Usikimbile kwenye mambo ya u team sijui nn, na hiyo ni point of weakness uliyonayo kichwani kwako
Mondi kamnunulia mpaka ndinga Baba Level ili amdiss Konde ila watu bado wanamsakama dogo [emoji3]Umeongea vitu vya msingi haswaa...afute ubaya wa Mondi aangalie mazuri yake tu...!!!
Ila harmonize nae kachoka jamani kupigwa vijembe kila siku Mara kibonge,Mara ukuti ukuti,Mara njomba nchumali n.k...!!!Mara anakula mihadarati...!!!
Mondi ni mswahili sana ingawa kimziki yuko juuu haswaa hatukatai na amefanikiwa mnoo!!!
Hoja huwa inapigwa kwa hoja na kama una uwezo mzuri wa kufikiri na akili timamu lazima huwezi kuanza kutoa matusi na kejeliWe sio mzima hata unachoandika sielewi haya mkumbatie bwana wako Diamond maana kila akikoselewa mshipa wa kalio lako una simama
Vijana tafuteni hela. Mwaka unaanza mpaka unakatika mko busy kuwa misukule wa domo na mbowe.Hakuna kipya kilichosemwa ukisikiliza nyimbo zake alizotoa kuanzia Hainistui mpaka usia zote alikuwa anapita humo humo tena kwa vijembe 🐒
HahahahahahahaaaaSijasikiliza hata nyimbo zake....ndo kile kiingereza cha ago kill u??? Akankill ma self???
Kingine wanashangaza kusema dogo arudishe fadhila kalipa milioni 500 hiyo sio fadhila tosha? Maana wao kama wanasema walimsaidia basi wangemwacha aende bure kuwa tulikusaidia na huo ndio msaada hutaki chochote in return, ila kumlipisha ule sio msaada, na hiyo fadhila kalipa na amerudisha ila bado wanakunja tu [emoji3]Kile kipindi ambacho Mo aliongea shit kwenye video conference ya chama, mimi sikukubaliana na ishu hiyo eti kwakua yeye ni tajiri basi ugomvi wake yeye na manara anataka iwe hivyo hivyo na kwa wachezaji eti kwakua yeye ndio anawalipa mishahara
Na ndio maana magufuli alisema kwenye utawala wake tajiri anaweza kufanywa chochote, na jamii ilishangazwa kwasababu haikua kawaida kuona tajiri akiwajibishwa
We must stop being asskissers, mtu asemwe madhaifu yake bila kujali wadhfa wake, hii tabia ya kuona watu waliosaidiwa na matajiri wao kua ndio wenye wajibu wa kuwa wanyonge hata pale ambapo wanaonewa dhana hii ina mentality ya kitumwa
Mavoko anasikitisha sana, hata ukimwangalia tu unajua something is not rightuzi huu unazidi kuvumbua ushetani wa diamond na uhuni wake
safi sana mmakonde walidhani watakuonea kama.kina.mavoko
fungukeni wadau hapa uhuni wa mtandale
Yani nimeangalia video yote YouTube,, kwa kweli mmakonde kapambana mpaka anatia huruma,, kifupi wanamuonea hawa dabliuusiibiiSina timu ila nimeangalia mahojiano ya konde ana hoja ya msingi yeye amekubali kwamba D amemfanyia wema ila anachopinga D kuendelea kumuwekea vikwanzo hata kama mtu umemsaidia akishindwa kukupa shukrani ndio umtengeze zengwe la Fitina hii si sawa.
Na ule ndio ulikuwa wakati sahihi kabisa kama angekuwa anataka kiki, ila hakuwahi kuongea why now?Angekuwa muoga wa kutaka Kiki angeongea siku zile nyuma wakati anatoka. Tatizo watu ni uteam unawasumbua hata kwenye kweli mnabaki kumponda mtu
Kwani DIAMOND ni MREFU mzee??Mbegu fupi wakorofi snaa
Pole bwana naona umeumia saaaaana!!Swala la Harmonize kujilinganisha na Mond iwe kwa pesa&investment, mafanikio kimziki, fanbase, Exposure na mambo mengine ni ujinga usio na kikomo, ambao umetamalaki kwake mpaka kwa mashabiki zake maana ukweli unafahamika kuwa hafiki hâta 50% ya Mond kwa chochote kile.
Kimziki ameshafeli, hakuna hâta ngoma yake ambayo imeenda mbali tangu atoke WCB, tofauti na KWANGWARU ambayo ilibebwa na uwepo wa huyo anaemtukana leo, ni ngoma gani nyingine kubwa aliyowahi kufanya??
Na maza anamuibisha sana mshikaji.. ndio maana akamwekea yule msela amtulize kidogo speed aisee [emoji3]Unaijua hii move alioifanya harmonize inamvusha wapi?na side effects ni zipi kwa huyo bwana ako?yeye ameshawahi kutoka mara ngapi kwenye ma camera kulia lia? Hapa harmonize ka set record straight! Ali mbully ommy dimpoz kuwa anafirw@ mpaka ommy akaweka wazi kuwa kamshamtomba mama yake jamaa, that was a hell of a defeat, na kuanzia hapo akamkoma dimpoz, tulieni na huyo junk wenu anayofanyia wenzake ni makubwa
Narudia tena, hapa mjini mkiendekeza njaa na kujifanya uchawa ndio kazi yenu ni lazima upigwe bolo hakuna namna.Unajua wewe jamaa nilisha ku ignore tangu 2013 yani nikiona umeandika ninavuka...usini quote upuuzi wako kwa sababu ubongo wako umejaa minyoo, kiufupi hauna akili, wewe ni taahira fulani hivi. I changed my id hata havyo don't bother to search