Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Wacha wee...

Kwahiyo tukianza kuzungumzia uwezo wa akina Aslay utataka tumlinganishe na akina Chris Brown, au?!
Hii nilikuwa nakujibu hapa..

Yaani Harmonize aliyekuwa ana-copy kila kitu kutoka kwa Diamond... kuanzia style ya kuimba hadi swagga halafu bado anaye-copy ndie awe threat kwa mwanzilishi?!

Ndio nikakuuliza unamjua Young Thug? Na unamuona Lil Wayne wa sasa? Umepata jibu sasa ya hilo neno lako hapo threat kwa mwanzilishi?
 
Kwani ili msanii mpk afanye mziki mzuri hapa nchini Tanzania inabidi afanye kitu gani special, au afike level gani?, au apate mafanikio gani? Ili tuseme amefanya vizuri kwenye mziki

What are qualities of a good musician/Artist

Usikimbile kwenye mambo ya u team sijui nn, na hiyo ni point of weakness uliyonayo kichwani kwako
We sio mzima hata unachoandika sielewi haya mkumbatie bwana wako Diamond maana kila akikoselewa mshipa wa kalio lako una simama
 
Umeongea vitu vya msingi haswaa...afute ubaya wa Mondi aangalie mazuri yake tu...!!!
Ila harmonize nae kachoka jamani kupigwa vijembe kila siku Mara kibonge,Mara ukuti ukuti,Mara njomba nchumali n.k...!!!Mara anakula mihadarati...!!!
Mondi ni mswahili sana ingawa kimziki yuko juuu haswaa hatukatai na amefanikiwa mnoo!!!
Mondi kamnunulia mpaka ndinga Baba Level ili amdiss Konde ila watu bado wanamsakama dogo [emoji3]
 
We sio mzima hata unachoandika sielewi haya mkumbatie bwana wako Diamond maana kila akikoselewa mshipa wa kalio lako una simama
Hoja huwa inapigwa kwa hoja na kama una uwezo mzuri wa kufikiri na akili timamu lazima huwezi kuanza kutoa matusi na kejeli

Very simple na haiwezekani huyu Diamond ndio akawa chanzo cha wasanii wengi kushindwa kufanikiwa ktk Carrier zao

This world is not simple as that as you think, Nenda kamwambie msanii wako apambane kufanya kazi nzuri na zitafika mbali na sio kutafuta huruma ya watu
 
Hakuna kipya kilichosemwa ukisikiliza nyimbo zake alizotoa kuanzia Hainistui mpaka usia zote alikuwa anapita humo humo tena kwa vijembe 🐒
Vijana tafuteni hela. Mwaka unaanza mpaka unakatika mko busy kuwa misukule wa domo na mbowe.

Mtakua lini ??

Ndio maana vjana wa sasa mnakalia chuma vibaya mnooo.
 
Kile kipindi ambacho Mo aliongea shit kwenye video conference ya chama, mimi sikukubaliana na ishu hiyo eti kwakua yeye ni tajiri basi ugomvi wake yeye na manara anataka iwe hivyo hivyo na kwa wachezaji eti kwakua yeye ndio anawalipa mishahara

Na ndio maana magufuli alisema kwenye utawala wake tajiri anaweza kufanywa chochote, na jamii ilishangazwa kwasababu haikua kawaida kuona tajiri akiwajibishwa

We must stop being asskissers, mtu asemwe madhaifu yake bila kujali wadhfa wake, hii tabia ya kuona watu waliosaidiwa na matajiri wao kua ndio wenye wajibu wa kuwa wanyonge hata pale ambapo wanaonewa dhana hii ina mentality ya kitumwa
Kingine wanashangaza kusema dogo arudishe fadhila kalipa milioni 500 hiyo sio fadhila tosha? Maana wao kama wanasema walimsaidia basi wangemwacha aende bure kuwa tulikusaidia na huo ndio msaada hutaki chochote in return, ila kumlipisha ule sio msaada, na hiyo fadhila kalipa na amerudisha ila bado wanakunja tu [emoji3]
 
Sina timu ila nimeangalia mahojiano ya konde ana hoja ya msingi yeye amekubali kwamba D amemfanyia wema ila anachopinga D kuendelea kumuwekea vikwanzo hata kama mtu umemsaidia akishindwa kukupa shukrani ndio umtengeze zengwe la Fitina hii si sawa.
Yani nimeangalia video yote YouTube,, kwa kweli mmakonde kapambana mpaka anatia huruma,, kifupi wanamuonea hawa dabliuusiibii
 
Angekuwa muoga wa kutaka Kiki angeongea siku zile nyuma wakati anatoka. Tatizo watu ni uteam unawasumbua hata kwenye kweli mnabaki kumponda mtu
Na ule ndio ulikuwa wakati sahihi kabisa kama angekuwa anataka kiki, ila hakuwahi kuongea why now?
 
Hata Diamond alifanyiwa figisu na Clouds Lakini Alishinda vita

Why Harmonize kwake inakuwa Ngumu
 
Diamond alivyoachana na Clouds,waliacha kupiga nyimbo za WCB walifanya kila Njia kumshusha Diamond

Na Sijawahi kumuona Diamond akilialia kama anavyofanya Harmonize

Bali aliwekeza Nguvu na Akili kwenye kufanya kazi Na kutengeneza Fanbase yake

Harmonize yeye anashindwa nn?
 
Awekeze Nguvu kwenye kufanya Kazi nzuri Na Atengeneze fanbase yake

Mbona Diamond aliweza hilo, kipindi WCB na Clouds Wana bifu Diamond hakuwenda kwenye media kila siku kulalamika

Bali alifanya kazi na akatengeneza fanbase yake,
Harmonize yeye anashindwa nn?
 
Swala la Harmonize kujilinganisha na Mond iwe kwa pesa&investment, mafanikio kimziki, fanbase, Exposure na mambo mengine ni ujinga usio na kikomo, ambao umetamalaki kwake mpaka kwa mashabiki zake maana ukweli unafahamika kuwa hafiki hâta 50% ya Mond kwa chochote kile.

Kimziki ameshafeli, hakuna hâta ngoma yake ambayo imeenda mbali tangu atoke WCB, tofauti na KWANGWARU ambayo ilibebwa na uwepo wa huyo anaemtukana leo, ni ngoma gani nyingine kubwa aliyowahi kufanya??
Pole bwana naona umeumia saaaaana!!
 
Milioni 600 Nyingi sawa 😂 Ushatoa Hiyo Hela Tia Ngoma Kali Basi

Mbona kila siku unawaongelea WCB 😅
 
Unaijua hii move alioifanya harmonize inamvusha wapi?na side effects ni zipi kwa huyo bwana ako?yeye ameshawahi kutoka mara ngapi kwenye ma camera kulia lia? Hapa harmonize ka set record straight! Ali mbully ommy dimpoz kuwa anafirw@ mpaka ommy akaweka wazi kuwa kamshamtomba mama yake jamaa, that was a hell of a defeat, na kuanzia hapo akamkoma dimpoz, tulieni na huyo junk wenu anayofanyia wenzake ni makubwa
Na maza anamuibisha sana mshikaji.. ndio maana akamwekea yule msela amtulize kidogo speed aisee [emoji3]
 
Watajuana waao wenyewe, si wapigane tyuuh lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wabongo bhna naona mshakua brainwashed na Wasafi classic ni kawaida mtu alikua anatakiwa ajitengemee shida kujaribu kumshusha anapojaribu kujitegemea

Harmonize naona ameongea maeneno general sana ya tabia za ma boss wa ki Tanzania ukiachana na mtu muache endelee na maisha yake usijaribu kumuua ili aonekane alifanya mistake kutoka kwako acheni ushabiki wa kishamba sukumeni mziki uende sio unafiki
 
Unajua wewe jamaa nilisha ku ignore tangu 2013 yani nikiona umeandika ninavuka...usini quote upuuzi wako kwa sababu ubongo wako umejaa minyoo, kiufupi hauna akili, wewe ni taahira fulani hivi. I changed my id hata havyo don't bother to search
Narudia tena, hapa mjini mkiendekeza njaa na kujifanya uchawa ndio kazi yenu ni lazima upigwe bolo hakuna namna.

Unanifuatilia tangu 2013 so what? Msunuu, Fuseki Fanculo.
 
Back
Top Bottom