ANCIENT FROM EGYPT
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 927
- 1,136
Hadi nimelia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]hivi kwanza Diamond ameshalipa fadhila za Bob junior?
Kabisamstaarabu kama Mimi sio?
Win win situation...!!HARMONIZE ALIKUWA NA KIPAJI DIAMOND ALIKUWA PESA.
THAT'S HOW CAPITALIST WORLD WORK
😂😂😂 kipind nasikia wcb wanyonyaji nilijua wanachukua 80%🤣🤣🤣 Konde mnyonyaji.
Hatari mkuu, jamaa kavamia jukwaa, anajiuliza na kujijibu mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta kazi ya maana ikuingizie pesa Diamond na Harmonize hawakusaidii chochote na hawakujui
Watu wapuuzi sana yaani wanamlaumu Domo utadhania alimshikia fimbo harmo ili asainiTueleweshane.
Harmonize alimpigia simu Rais ili amsaidia katika kuuvunja mkataba?
Huo mkataba haukua na get out clause?
Sasa si mpaka wakubali kusaini sasa .Tueleweshane.
Harmonize alimpigia simu Rais ili amsaidia katika kuuvunja mkataba?
Huo mkataba haukua na get out clause?
Kumbe umeanza kuwa na akiliHARMONIZE ALIKUWA NA KIPAJI DIAMOND ALIKUWA PESA.
THAT'S HOW CAPITALIST WORLD WORK
Hii ndo kazi yangu mkuuTafuta kazi ya maana ikuingizie pesa Diamond na Harmonize hawakusaidii chochote na hawakujui
Anamjibu kupitia baba levo na lokole.Harmonize aache ushamba, anajiskiaje anavyongea kila siku lakini hajibiwi kitu na Mondi.
Shoga uyoHatari mkuu, jamaa kavamia jukwaa, anajiuliza na kujijibu mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Umeona wapi Mond anamtaja taka Bob juniorKwanza diamond amelipa fadhila za Bob junior?
Rudia tena kusoma nilichoandika.Wapi kasema yeye mkali?
Unaambiwa harmonize alimpigia simu mpaka mwakyembe ambaye kwa wakati huo ndio waziri wa sanaa, lakini yule mnyakyusa naye alikuwa chawa hakutaka kumsikiliza harmonizeTueleweshane.
Harmonize alimpigia simu Rais ili amsaidie katika kuuvunja mkataba?
Huo mkataba haukua na get out clause?
Nini maana ya kulipa fadhila?Umeona wapi Mond anamtaja taka Bob junior