Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Serikali ina mengi ya maana kuliko misutano ya wanaume wa dar wawili walioamua kuanikana hadharaniNaomba kuweka wazi kabisa kwamba mimi si mpenzi wa Muziki wa Tanzania na wala siwapendi wanamuziki wa Tanzania , hii ni kwa vile wamekuwa mara zote wakitumika na ccm kuwapotosha wananchi , na hasa hawa wanaoitwa Wanamuziki wa kizazi kipya , ambao pia wanatuhumiwa kusafirisha na kusambaza madawa ya kulevya hivyo kuharibu nguvu kazi ya Taifa .