Serikali ina mengi ya maana kuliko misutano ya wanaume wa dar wawili walioamua kuanikana hadharaniNaomba kuweka wazi kabisa kwamba mimi si mpenzi wa Muziki wa Tanzania na wala siwapendi wanamuziki wa Tanzania , hii ni kwa vile wamekuwa mara zote wakitumika na ccm kuwapotosha wananchi , na hasa hawa wanaoitwa Wanamuziki wa kizazi kipya , ambao pia wanatuhumiwa kusafirisha na kusambaza madawa ya kulevya hivyo kuharibu nguvu kazi ya Taifa .
Anatafuta kuongelewa baada ya album kubuma na shows kubuma.Konde boy Kapiga kwenye mshono mmejaa mhaho
Hakuna anaeifatilia wala mwenye habari nayoAlbum imebumaje, Ebu nifafanulie kitaalamu album kubuma inakuaje yani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bibi una nn lakn?Lazima anae kupa usingizi umsifie.
Diamond haitaji promo yangu kuzidi kuwa mkubwa.Mashavu ya kindezi pamoja na promo za kipimbi kama hizi ndio zinawakuza wakaskika kuliko wanachokiimba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu mweeehKonde boy Kapiga kwenye mshono mmejaa mhaho
kuyatambua hayo inabidi uwe vizuri pia.Kiukweli aliyoongea mmakonde ni vitu vya ukwel kabsa,na familia ya mondi uchawi kwao ndo nyumbani
Hongera kwa ushindi wa leoNipo mkuu ,tupeane mikono
Sio kosa lako ila ni kosa la umalaya wa Mama yako kukuzaa nje ya ndoaChawa kila comment unadakia ,duuh haya tumekuelewa mama tiffah
Umeona eenheNaunga mkono huu uzi 100%
Tumerudi upyaHongera kwa ushindi wa leo
Sema dogo anaroho ya kishetani sanaDiamond kashazoea sasa kuabudiwa na chawa wake sasa anataka kila mtu awe chawa kwake, wakati mtu kama yeye kwasasa alipaswa awe mtu wa maneno machache alafu vitendo ndo viongee, haya mambo ya kutaka taka fadhila kwa aliowasaidia ni too low for him haimpunguzii chochote katika mafanikio yake
Kwa mmakonde vita hatoiweza,wengi wanamgwaya lkn mmakonde anaonesha dhahiri yupo tayar kwa lolote kivyovyote na ndo maana,Diamond na WCB yake hata wafanyaje dogo jeshi ataendelea kuwepo labda wamtoe uhai kabisaKiukweli Diamond Platnumz amepigana vita nyingi sana mpaka sasa kiasi kwamba amekuwa nunda.
Ukitaka ushindane na Diamond usitie huruma maana unapoteza pambano kirahisi sana.
Nasikia kila mwezi anachinja kondooKiukweli aliyoongea mmakonde ni vitu vya ukwel kabsa,na familia ya mondi uchawi kwao ndo nyumbani
niliwahi kusikia sehemu kuwa CHAIJABA anamgegeda mama yake mzazi ,ndo sharti la nyota yake kuvuma...Nasikia kila mwezi anachinja kondoo
Mziki wake unapigwa sana ,mfano amapiano zote ni hits tatizo yeye anafanya kwa mashindanomimi sio mfuatiliaji sana wa muziki wa kisasa lakini napenda Muziki mzuri, kwa ninavona konde anafanya vizuri tu hivo nashangaa humu anasemwa muziki umemshinda wakati mtaani na clubs unapigwa