Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Diamond kapigana vita ngumu mno kwenye nchi hii yani kupigana vita na ruge na clouds halafu ukasurvive wewe mwanaume haswaaa hawezi kushushwa na cheap huruma za watoto wadogo ule ni mwamba ingawa sio wa kaskazini.
 
Kwanza wale ndo wafitinishi, hata mondi alitaka kupatana na ruge, ila wao wakamkataza, yaan wao wanamfanya domo km msukule waao khaaaah
 
Mtoa mada bado sana tatizo unaonyesha chuki za wazi wazi harmonize yule katemwa BSS jamaa kamchukua kazunguka nae kumshika mkono alivunja pikipiki katika video ya bado kule south nan alilipa kama sio wasafi risk zote walibeba
Ujinga wako n nn inamchukua diamond kwa vile ana maisha mazuri pesa anayo ingekuwa umemzidi kila kitu usingeongea mashudu unaonekana mtu mzima ila akili haun
Uchawi kila kona upo kutwa kuwaandama vijana mara diamond mara vunjabei eti wachawi utamjuaje mchawi kama sisi ww mchawi

Yule mbegu fupi anashukiwa akili baada ya kuona njia ila wcb hawakumfuata kwamba wanatafuta vipaji aliwafuata yeye kutoka kwao

Kusaini mkataba ndo unajifungua na alikuwa anajivunia sana kuwa wasafi sasa kashika pesa pesa si natoa maneno ya nn
 
Mimi naona wote wakamatwe kwa kosa la kutumia na kumiliki mihadharati, si ile mashine ya kupima mkojo bado ipo ?
 
Bado utasikia Diamond anambania, anamfanyia fitna, kila siku ye kilialia tu, anataka aonekane anaonewa, hayo Mambo ashaongea mda mrefu leo umejuaje ayakumbushe wakati tushayajua kitambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…