Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
Kwani wamekatazwa dada wawe juu wakiweza hana uwezo wa kuzuia hilo.Lazima Na wasanii wengine wewe juu sio diamond tu
Kama alitamka hayo maneno kwa nguvu ya mihadarati je?Nakuambia hivi,huniwezi kiserikali,huniwezi kimziki,huniwezi kiuchawi,km unabisha nipe mkono,nipe mkonoo!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umepigwa kwenye mshono utajibuje? Hata sauti haitoki
Konde kapiga kwenye nshonoView attachment 2016675
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mambo n vuta nikuvute.SK lazima akatae kumpa mkono maana mbinu zao za kichawi zishafeli,chezea Chitoholi moko weyee...wao km wa magharibi,mwenzao kusini!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Kwanza wale ndo wafitinishi, hata mondi alitaka kupatana na ruge, ila wao wakamkataza, yaan wao wanamfanya domo km msukule waao khaaaah[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]yaani mmesikiliza intavyuu daahh!yaani kiukweli kushangaa lazima unabaki[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]....kavurugwa mpk baasi!
Ila Mondi mi bado nasema SK na yule mgane wa taifa ndo wachawi wake!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ni kweli na ndio maana shida ya umeme na maji zimeishaSerikali ina mengi ya maana kuliko misutano ya wanaume wa dar wawili walioamua kuanikana hadharani
Bado utasikia Diamond anambania, anamfanyia fitna, kila siku ye kilialia tu, anataka aonekane anaonewa, hayo Mambo ashaongea mda mrefu leo umejuaje ayakumbushe wakati tushayajua kitamboHuyu mziki ushamshinda,album inafanya vibaya.
Sasa Diamond kama angetaka kila siku kuwa yy.
Kaanzisha lebo ambayo imemtoa yy.
Kampeleka nje kufanya video kubwa.
Kamkutanisha na wasanii wakubwa Africa.
Kamtoa Rayvanny mpaka kufikia hatua ya Colabo na Maluma na kuchukua BET,Tz hii Rayvanny ndiye mwenye nyimbo yenye streams nyingi, kapiga show jukwaa la essence, mafanikio ambayo Diamond hajawahi kuya fikia.
Angeamua kuto kuanzisha label tusinge mjua na Diamond ni mfanyabiashara, always ana angalia faida na label zote duniani zina angalia faida, hata yy na JembeniJembe wanaangalia faida.
Yeye mwenyewe kuimba aliambiwa hajui, Diamond kakaa nae zaidi ya miaka mitatu, akimfundisha na kumpika kimuziki na kuna watu walimwambia hajui kuimba ila Mondi hakukata nae tamaa, kula,kuvaa na kulala kwa Diamond.
Anadai WCB walikuwa wana muogopa yy, haya leo zaidi ya miaka miwili nje ya WCB, yupo yy peke yake,free habanwi je kafika wapi,kampita Diamond?Anapata airtime ktk media zote kubwa zilizo kuwa hazipigi nyimbo zake.
Halafu haja tuambia wasanii wake wanapata kiasi gani, mikataba yao miaka mingapi,wana miaka miwili hawa heleweki wanafanya nini.
Tatizo ni kwamba wanasaidia kampeni za chamaMimi naona wote wakamatwe kwa kosa la kutumia na kumiliki mihadharati, si ile mashine ya kupima mkojo bado ipo ?
Ata msaidia kula ngadaNawe unaye mpenda endelea kula matunda ya upendo wako[emoji1787]
Ale ngada tuDiamond hakika wewe jamaa ni hatari nimekuchukia hadi najiona mimi mjinga. Kwasababu hapa mjini ni wewe tu ndio unaonekana sisi wenGine tuonekana mbuzi
Maana kila mtandao Diamond diamond diamond diamond
Patamu sana hapaNawe unaye mpenda endelea kula matunda ya upendo wako[emoji1787]
Kalipa milioni 600 za WCB, mna jingine la kuongea?Anatafuta kuongelewa baada ya album kubuma na shows kubuma.
Sehemu pekee anaweza zungumziwa ni kumshambulia Diamond