Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Diamond kapigana vita ngumu mno kwenye nchi hii yani kupigana vita na ruge na clouds halafu ukasurvive wewe mwanaume haswaaa hawezi kushushwa na cheap huruma za watoto wadogo ule ni mwamba ingawa sio wa kaskazini.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]yaani mmesikiliza intavyuu daahh!yaani kiukweli kushangaa lazima unabaki[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]....kavurugwa mpk baasi!
Ila Mondi mi bado nasema SK na yule mgane wa taifa ndo wachawi wake!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Kwanza wale ndo wafitinishi, hata mondi alitaka kupatana na ruge, ila wao wakamkataza, yaan wao wanamfanya domo km msukule waao khaaaah
 
Mtoa mada bado sana tatizo unaonyesha chuki za wazi wazi harmonize yule katemwa BSS jamaa kamchukua kazunguka nae kumshika mkono alivunja pikipiki katika video ya bado kule south nan alilipa kama sio wasafi risk zote walibeba
Ujinga wako n nn inamchukua diamond kwa vile ana maisha mazuri pesa anayo ingekuwa umemzidi kila kitu usingeongea mashudu unaonekana mtu mzima ila akili haun
Uchawi kila kona upo kutwa kuwaandama vijana mara diamond mara vunjabei eti wachawi utamjuaje mchawi kama sisi ww mchawi

Yule mbegu fupi anashukiwa akili baada ya kuona njia ila wcb hawakumfuata kwamba wanatafuta vipaji aliwafuata yeye kutoka kwao

Kusaini mkataba ndo unajifungua na alikuwa anajivunia sana kuwa wasafi sasa kashika pesa pesa si natoa maneno ya nn
 
Huyu mziki ushamshinda,album inafanya vibaya.

Sasa Diamond kama angetaka kila siku kuwa yy.

Kaanzisha lebo ambayo imemtoa yy.
Kampeleka nje kufanya video kubwa.
Kamkutanisha na wasanii wakubwa Africa.
Kamtoa Rayvanny mpaka kufikia hatua ya Colabo na Maluma na kuchukua BET,Tz hii Rayvanny ndiye mwenye nyimbo yenye streams nyingi, kapiga show jukwaa la essence, mafanikio ambayo Diamond hajawahi kuya fikia.

Angeamua kuto kuanzisha label tusinge mjua na Diamond ni mfanyabiashara, always ana angalia faida na label zote duniani zina angalia faida, hata yy na JembeniJembe wanaangalia faida.

Yeye mwenyewe kuimba aliambiwa hajui, Diamond kakaa nae zaidi ya miaka mitatu, akimfundisha na kumpika kimuziki na kuna watu walimwambia hajui kuimba ila Mondi hakukata nae tamaa, kula,kuvaa na kulala kwa Diamond.

Anadai WCB walikuwa wana muogopa yy, haya leo zaidi ya miaka miwili nje ya WCB, yupo yy peke yake,free habanwi je kafika wapi,kampita Diamond?Anapata airtime ktk media zote kubwa zilizo kuwa hazipigi nyimbo zake.

Halafu haja tuambia wasanii wake wanapata kiasi gani, mikataba yao miaka mingapi,wana miaka miwili hawa heleweki wanafanya nini.
Bado utasikia Diamond anambania, anamfanyia fitna, kila siku ye kilialia tu, anataka aonekane anaonewa, hayo Mambo ashaongea mda mrefu leo umejuaje ayakumbushe wakati tushayajua kitambo
 
Back
Top Bottom