Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Uko sahihi
 
Huyo harmonize ambaye kila nyimbo anamuimba diamond ndo mtaarabu??!! Au ustaarabu ni nini mkuu??
 
Dogo anaelekea kuchanganyikiwa sasa hv,bora angebakia kimiya tu.

Yaani uwezekano wa kutolipa pesa upo eti kisa amani unakuja kulipa mil 600,kweli,huna ndugu wa kuwapa hizo hela hadi umpe Diamond kisa amani??,serious???

Na hizo kolabu zingine je alikatwa dola ngapi,mbona ameitaja ya reekado tu?
 
Uko sahihi kabisa!ruge alikua mnyonyaji but diamond yuko sahihi!!ptuuu!

Uonevu tu!kunya anye kuku....!!!
Harmonize ni binadamu kila kitu kina kikomo!

Huyo Mondi mkamilifu Kagombana na Dimpoz,Shetta na Ney na wote kaimba nao ngoma!

Ina maana hao wote wakorofi Mondi ndo mkamilifu? kuna shida WCB mkubali mkatae nyie wenye timu zenu!![emoji57][emoji57][emoji57]
 
Mi huwa namshangaa sana anavyo fanya ligi na mwalimu wake..ujue mda mwingine binadamu hatuna haya na adabu..

Harmonise ni zao la WCB 100% sasa sijui kwanini hana shukrani kiasi cha kuasema anayo yasema uko na kufanya ligi za kurusha madogo WCB.

Kasahau BSS? Yule ndio yeye sasa kama Rajabu. Ukizungumzia Harmonize basi ujue ni WCB...akae akijua ivyo sikio kamwe halizidi Kichwa...

Ova#
 
Ukicheki video ya inde ft dully yule ni mondi kabisa.

Wizkd alivyo kuja Mwanza alimchana live aache kumcopy mondi
 
Sawa kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…