Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Basi na sie wenye elimu ndogo hatupendi show off.. tunafanya mambo chini kwa chiniTumefanya makubwa sio mpaka tuje kutangaza humu ok boss?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi na sie wenye elimu ndogo hatupendi show off.. tunafanya mambo chini kwa chiniTumefanya makubwa sio mpaka tuje kutangaza humu ok boss?
SawaBasi na sie wenye elimu ndogo hatupendi show off.. tunafanya mambo chini kwa chini
Harmo ni chenga yuleHivi harmo alivyotoka wasafi si diamond aliendelea kumsuport tena akawa anapiga ngoma zake kwenye media? Harmo alivyoanza kumtumia hbaba sijui mwijaku kumtukana diamond ndo mambo yalipoharibika sasa diamond kujibu mapiga anaonekana mbaya?
Ngada chafuMwisho kabisa ,"sura ya mond inaonesha Hana furaha kabisa japo yupo na utajiri ,anakula ngada huyu jamaa"
Harmonize niliona amevaa lile koti na joto hili la Dar nikajua tu ni time ya VIOLENCE
Sawa mmakondeTafuta hela hakuna joto wewe
Aliyeanza vijembe ni Harmonize na Dimondi alikuwa kimya akarudisha majibu kwa kumuita mjomba nchumali, Harmonize akatoa wimbo wa Wapo akiwa analalamika.
Juzi huzi tena kwenye album yake karusha vijembe vya kutosha, kasema mpaka yeye ana nguvu ya kumuua simba akamuita Rayvanny paka anayejiita chui, Dimondi akarusha kijembe eti mihadharati jamaa akajaa upepo akaandika gazeti na press conference juu....mtu pekee anayemuweza Dimondi na WCB ni King Kiba....utamrushia vijembe na yeye anakutumia kijembe hajai upepo tena kuna muda anakufanyia dharau wazi wazi kabisa [emoji205]
Sawa jumalokoleTafuta pesa bwa’mdogo.
Ago dai ma bebiSijasikiliza hata nyimbo zake....ndo kile kiingereza cha ago kill u??? Akankill ma self???