aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
Sawa jumq lokoleMtoa mada we ni mbupu tu:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa jumq lokoleMtoa mada we ni mbupu tu:
Shomi wochu gat
Kinge cha kinyaki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Harmonize aache ushamba, anajiskiaje anavyongea kila siku lakini hajibiwi kitu na Mondi.1.pesa ya kuvunja mkataba ilitolewa na sayona crdb bank na jembe ni jembe sio kama tulivyoaminishwa kuwa sarah alihusika
2.diamondi ni mtu mwenye roho mbaya sana rejea kauli za ommy dimpoz,belle 9 ,shettah rich mavoko
3.rayvanny anavumilia kuwa wasafi hajui pa kuanzia kutoka tena kwa yeye wanaweza sema atoe bilion 1
4.bila amri ya magufuli diamond asingesaini kuvunja mkataba kwa wakati
5.harmonize mwaka wa 3 anaendelea kuwepo kwa game nje ya wasafi
6.kuna watu huwa wanalazimishwa kumsifia na kumpost diamond kila kukicha ama akiwa na jambo mfano jana amepostiwa na mama yake uncle shamte baba levo page ya wasafi
7.nyimbo zote nzuri za wcb mondi alikuwa analazimisha aweke mistari yake ili ikitoka ionekane yeye ndio ameibeba nyimbo wakati kiukweli sio sahihi alikuwa hatak kupotea masikion kwa watu
8.uchawi ni sehem ya maisha ya diamond
9.mameneja na ndugu wa diamond walichangia ugomvi kuwa mkubwa sana
10.mali tunazoaminishwa za diamond zingine hazina ukweli
Kila mtu na shida ZAKE.nisikilize zake za nini
Tuone panapovuja..Ngoja kunyeshe......
Mondi huwa anatumia kaHarmonize aache ushamba, anajiskiaje anavyongea kila siku lakini hajibiwi kitu na Mondi.
1.pesa ya kuvunja mkataba ilitolewa na sayona crdb bank na jembe ni jembe sio kama tulivyoaminishwa kuwa sarah alihusika
2.diamondi ni mtu mwenye roho mbaya sana rejea kauli za ommy dimpoz,belle 9 ,shettah rich mavoko
3.rayvanny anavumilia kuwa wasafi hajui pa kuanzia kutoka tena kwa yeye wanaweza sema atoe bilion 1
4.bila amri ya magufuli diamond asingesaini kuvunja mkataba kwa wakati
5.harmonize mwaka wa 3 anaendelea kuwepo kwa game nje ya wasafi
6.kuna watu huwa wanalazimishwa kumsifia na kumpost diamond kila kukicha ama akiwa na jambo mfano jana amepostiwa na mama yake uncle shamte baba levo page ya wasafi
7.nyimbo zote nzuri za wcb mondi alikuwa analazimisha aweke mistari yake ili ikitoka ionekane yeye ndio ameibeba nyimbo wakati kiukweli sio sahihi alikuwa hatak kupotea masikion kwa watu
8.uchawi ni sehem ya maisha ya diamond
9.mameneja na ndugu wa diamond walichangia ugomvi kuwa mkubwa sana
10.mali tunazoaminishwa za diamond zingine hazina ukweli
😂😂😂 MakasirikoMna chuki jamani
KinaNgoja Misukule yake iliyopewa tecno na bando ije kupinga.
Wanaopumuliwa acha wajeharmonize kawapiga watu na kitu kozoto usoni,ila wenye timu yao iliyopigwa hicho kitu watakuua
Ngoja waje wale wenye zile team zisizoshiriki ligi yeyote uone povu lao.1.pesa ya kuvunja mkataba ilitolewa na sayona crdb bank na jembe ni jembe sio kama tulivyoaminishwa kuwa sarah alihusika
2.diamondi ni mtu mwenye roho mbaya sana rejea kauli za ommy dimpoz,belle 9 ,shettah rich mavoko
3.rayvanny anavumilia kuwa wasafi hajui pa kuanzia kutoka tena kwa yeye wanaweza sema atoe bilion 1
4.bila amri ya magufuli diamond asingesaini kuvunja mkataba kwa wakati
5.harmonize mwaka wa 3 anaendelea kuwepo kwa game nje ya wasafi
6.kuna watu huwa wanalazimishwa kumsifia na kumpost diamond kila kukicha ama akiwa na jambo mfano jana amepostiwa na mama yake uncle shamte baba levo page ya wasafi
7.nyimbo zote nzuri za wcb mondi alikuwa analazimisha aweke mistari yake ili ikitoka ionekane yeye ndio ameibeba nyimbo wakati kiukweli sio sahihi alikuwa hatak kupotea masikion kwa watu
8.uchawi ni sehem ya maisha ya diamond
9.mameneja na ndugu wa diamond walichangia ugomvi kuwa mkubwa sana
10.mali tunazoaminishwa za diamond zingine hazina ukweli
Bora uliomshinda kuliko sisi tunaowafatilia ya mastaa, tusio na jina mjini.Je mtu kusema yake ya moyoni ndio kigezo cha mziki kumshinda?
Sidhani kama uwezo wako wa kufikiri ndio umefikia kikomo na kufikia hilo hitimisho eti muziki umemshinda.
mstaarabu kama Mimi sio?Hapana wcb walianza bana kumsakama
Hamo mstasrabu sanaa
Simuogopi juma lokole kwa kuongea ukweliNgoja waje wale wenye zile team zisizoshiriki ligi yeyote uone povu lao.