Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

1.pesa ya kuvunja mkataba ilitolewa na sayona crdb bank na jembe ni jembe sio kama tulivyoaminishwa kuwa sarah alihusika
2.diamondi ni mtu mwenye roho mbaya sana rejea kauli za ommy dimpoz,belle 9 ,shettah rich mavoko
3.rayvanny anavumilia kuwa wasafi hajui pa kuanzia kutoka tena kwa yeye wanaweza sema atoe bilion 1
4.bila amri ya magufuli diamond asingesaini kuvunja mkataba kwa wakati
5.harmonize mwaka wa 3 anaendelea kuwepo kwa game nje ya wasafi
6.kuna watu huwa wanalazimishwa kumsifia na kumpost diamond kila kukicha ama akiwa na jambo mfano jana amepostiwa na mama yake uncle shamte baba levo page ya wasafi
7.nyimbo zote nzuri za wcb mondi alikuwa analazimisha aweke mistari yake ili ikitoka ionekane yeye ndio ameibeba nyimbo wakati kiukweli sio sahihi alikuwa hatak kupotea masikion kwa watu
8.uchawi ni sehem ya maisha ya diamond
9.mameneja na ndugu wa diamond walichangia ugomvi kuwa mkubwa sana
10.mali tunazoaminishwa za diamond zingine hazina ukweli
Harmonize aache ushamba, anajiskiaje anavyongea kila siku lakini hajibiwi kitu na Mondi.
 
1.pesa ya kuvunja mkataba ilitolewa na sayona crdb bank na jembe ni jembe sio kama tulivyoaminishwa kuwa sarah alihusika
2.diamondi ni mtu mwenye roho mbaya sana rejea kauli za ommy dimpoz,belle 9 ,shettah rich mavoko
3.rayvanny anavumilia kuwa wasafi hajui pa kuanzia kutoka tena kwa yeye wanaweza sema atoe bilion 1
4.bila amri ya magufuli diamond asingesaini kuvunja mkataba kwa wakati
5.harmonize mwaka wa 3 anaendelea kuwepo kwa game nje ya wasafi
6.kuna watu huwa wanalazimishwa kumsifia na kumpost diamond kila kukicha ama akiwa na jambo mfano jana amepostiwa na mama yake uncle shamte baba levo page ya wasafi
7.nyimbo zote nzuri za wcb mondi alikuwa analazimisha aweke mistari yake ili ikitoka ionekane yeye ndio ameibeba nyimbo wakati kiukweli sio sahihi alikuwa hatak kupotea masikion kwa watu
8.uchawi ni sehem ya maisha ya diamond
9.mameneja na ndugu wa diamond walichangia ugomvi kuwa mkubwa sana
10.mali tunazoaminishwa za diamond zingine hazina ukweli

Ngoja Misukule yake iliyopewa tecno na bando ije kupinga.
 
Maskini wa akili hua watu wa ajabu sana, yaani mtu mwenye roho mbaya awafungulie dunia ya mafanikio kiasi kile wasanii wake?

Mwenye roho mbaya ni yule anawasign vijana alafu hawapi support ya kutosha akihofia wakikua kisanaa watamgeuka na mifano tunayo hapa hapa bongo.
 
1.pesa ya kuvunja mkataba ilitolewa na sayona crdb bank na jembe ni jembe sio kama tulivyoaminishwa kuwa sarah alihusika
2.diamondi ni mtu mwenye roho mbaya sana rejea kauli za ommy dimpoz,belle 9 ,shettah rich mavoko
3.rayvanny anavumilia kuwa wasafi hajui pa kuanzia kutoka tena kwa yeye wanaweza sema atoe bilion 1
4.bila amri ya magufuli diamond asingesaini kuvunja mkataba kwa wakati
5.harmonize mwaka wa 3 anaendelea kuwepo kwa game nje ya wasafi
6.kuna watu huwa wanalazimishwa kumsifia na kumpost diamond kila kukicha ama akiwa na jambo mfano jana amepostiwa na mama yake uncle shamte baba levo page ya wasafi
7.nyimbo zote nzuri za wcb mondi alikuwa analazimisha aweke mistari yake ili ikitoka ionekane yeye ndio ameibeba nyimbo wakati kiukweli sio sahihi alikuwa hatak kupotea masikion kwa watu
8.uchawi ni sehem ya maisha ya diamond
9.mameneja na ndugu wa diamond walichangia ugomvi kuwa mkubwa sana
10.mali tunazoaminishwa za diamond zingine hazina ukweli
Ngoja waje wale wenye zile team zisizoshiriki ligi yeyote uone povu lao.
 
Je mtu kusema yake ya moyoni ndio kigezo cha mziki kumshinda?

Sidhani kama uwezo wako wa kufikiri ndio umefikia kikomo na kufikia hilo hitimisho eti muziki umemshinda.
Bora uliomshinda kuliko sisi tunaowafatilia ya mastaa, tusio na jina mjini.
 
Back
Top Bottom