Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Kumbe ndio maana Alikiba aligoma kumpa mkono
images.jpg
 
Rayvanny kwa harmonize haingii hata ukucha usimfananishe harmonize na upumbavu
Msiwe mnaongea hivi kwa hisia, wekeni takwimu ziamue zenyewe.Harmo kamzid nini Rayvanny?

Kwani msiwe mnaweka hoja zinazoeleweka ili tujadili vizuri? Sema alichonacho Harmo ambacho Vanny hana.
 
Swala la Harmonize kujilinganisha na Mond iwe kwa pesa&investment, mafanikio kimziki, fanbase, Exposure na mambo mengine ni ujinga usio na kikomo, ambao umetamalaki kwake mpaka kwa mashabiki zake maana ukweli unafahamika kuwa hafiki hâta 50% ya Mond kwa chochote kile.

Kimziki ameshafeli, hakuna hâta ngoma yake ambayo imeenda mbali tangu atoke WCB, tofauti na KWANGWARU ambayo ilibebwa na uwepo wa huyo anaemtukana leo, ni ngoma gani nyingine kubwa aliyowahi kufanya??
Jeshi
 
Manara alishindwa kukaa nayo wiki😀😀😀😀😀

Umenikumbusha kitenge aiseee mpaka akaunti yake ya insta wakaichukua kisa tu kawahama na akaambiwa atoe ela ili arudishiwe akaunti yake🙌🙌🙌kitenge kagoma kaenda fungua akaunti nyingine hata mwezi hajamaliza ana followers 1M..

Pale ndio niliona side b ya roho ya jamaa ila mmakonde lazima apopolewe hata km yupo right....🚶🚶🚶🚶
Hata Youtube ya Rich mavoko nayo ilipigwa pini,
Sa hivi anatumia ya Billionea kid
 
Hahaha...siku huyo mwanajeshi wenu akimzidi Naseeb kwa chochote kile (hâta kimoja tu) nitawaelewa,ila kwasasa nawaona kama wafa maji tu maana hakuna hâta hoja moja ya maana mnayotoa.
 
Diamond ataendelea kuwa msanii namba moja kwa muda mrefu kidogo. Kwa hiyo wanaomchukia endeleeni kuugulia maumivu bado mna safari ndefu ya maumivu.
Wanaomchukia Diamond ni walewale miaka nenda Rudi,Zaid Zaid wanahamishaga kambi tu.
Huyo mange mwenyewe ndo yule yule tu,yani mpaka wanajitoa akili.

Wakati harmonize yupo full beneti na diamond walianzisha vita KWA diamond ilj amteme huyo mmakonde na wakamsifia kinafiki rayvanny Ili aonekane anajua kuimba KUSHINDA harmonize lakini hata wao hawakutegemea haya,hata leo wanamsapot kinafiki Ili kumkomoa mondi.

Ajabu ni kua anayemtukana mondi anapata umaarufu na faida,anayemsifia pia na kumtetea sana the same.

Cc mwijaku,babalevo,jumalkole na page za udaku.
Ama kweli hii kweli ALMASI,mpaka mzee mzima Ostadh Juma naye kaanza na kuanzisha ka online TV chake,anapiga vifedha vya hapa na pale
 
Mtoa mada bado sana tatizo unaonyesha chuki za wazi wazi harmonize yule katemwa BSS jamaa kamchukua kazunguka nae kumshika mkono alivunja pikipiki katika video ya bado kule south nan alilipa kama sio wasafi risk zote walibeba
Ujinga wako n nn inamchukua diamond kwa vile ana maisha mazuri pesa anayo ingekuwa umemzidi kila kitu usingeongea mashudu unaonekana mtu mzima ila akili haun
Uchawi kila kona upo kutwa kuwaandama vijana mara diamond mara vunjabei eti wachawi utamjuaje mchawi kama sisi ww mchawi

Yule mbegu fupi anashukiwa akili baada ya kuona njia ila wcb hawakumfuata kwamba wanatafuta vipaji aliwafuata yeye kutoka kwao

Kusaini mkataba ndo unajifungua na alikuwa anajivunia sana kuwa wasafi sasa kashika pesa pesa si natoa maneno ya nn
Sawa juma lokole so swala la pikipiki ndio hoja yako? Mkataba wcb south wamempeleka wcb ulitaka alipe nani
Tatizo juma lokole elimu huna ndio shida
 
Sawa juma lokole so swala la pikipiki ndio hoja yako? Mkataba wcb south wamempeleka wcb ulitaka alipe nani
Tatizo juma lokole elimu huna ndio shida
Una ulivyokuwa choko video wanagharamiwa wao kila kitu then apewe faidi hamna cha bure utakuja kuliwa
 
Kutokana na taarifa aliyoisema ndugu yetu mmakonde kuwa jamaa alimuambia aweke mkono kama anataka mashindano ilikua na muktadha upi kitaalamu katika mambo ya kichawi au ilikua ni tambo tu au ni sawa na vile vijana wengi tunavuosemaga “tupinge kama unaeza” nisaidieni kuwatag wataalam aisee.

Mshana Jr na wengineo

Nawasilisha
 
Kwenye huo uzi hapo, amenukuliwa akisema kuwa management nzima ya wasafi ilikua inamuogopa kuwa anakwenda kumshinda Diamond, baba ake akienda kumsalimia anaambiwa ameenda kuwaroga, akaamua kuondoka

Sasa mbona mpaka sasa bado hajamshinda ikiwa anajiona ye ni mkali kiasi cha kuogopwa na management nzima ya WCB??

Kama hashindani nae wala hataki kumzidi maneno neno yasiyo na tija ya kazi gani???
Management ndio ilikuwa ikisema sio yeye.. halafu hapo hapo tena unakuja kuuliza mbona hajamzidi wakati juu umenukuu kabisa management ndio ilikuwa ikisema sio yeye sasa tukuelewe vipi Jimena?
 
Harmonize analazimisha vita ya maneno na Diamond,hayo si alishasema wakati amehama na clouds walimpa airtime ya kutosha
Wao mbona wanamsema chief, kama mwanzo wa haya kaanza Diamond kuwa Harmonize ataishia kwenye mihadarati Konde kajibu sasa hapo mbaya nani?
 
kubali tu hujatazama hii interview au unakwepa kukubali ukweli dogo kafunguka ya ndani madale wapo uchi.
Wanatumia nguvu sana kuukataa ukweli lakini Konde kaharibu vibaya sana, sasa na Burnaboy Kampost Konde kaweka dole la kati dah WCB kazi wanayo na leo anasepa na kijiji Maison hapo [emoji3]
 
Diamond alivyoachana na Clouds,waliacha kupiga nyimbo za WCB walifanya kila Njia kumshusha Diamond

Na Sijawahi kumuona Diamond akilialia kama anavyofanya Harmonize

Bali aliwekeza Nguvu na Akili kwenye kufanya kazi Na kutengeneza Fanbase yake

Harmonize yeye anashindwa nn?

Brother Harmonize katoka tour US unataka awekeze nguvu na akili vipi tena au unadhani US alienda kutembea chief? [emoji3]
 
Manara alishindwa kukaa nayo wiki[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Umenikumbusha kitenge aiseee mpaka akaunti yake ya insta wakaichukua kisa tu kawahama na akaambiwa atoe ela ili arudishiwe akaunti yake[emoji119][emoji119][emoji119]kitenge kagoma kaenda fungua akaunti nyingine hata mwezi hajamaliza ana followers 1M..

Pale ndio niliona side b ya roho ya jamaa ila mmakonde lazima apopolewe hata km yupo right....[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Ina maana ukiajiliwa WCB account zote ni mali yao
 
Back
Top Bottom