Best Daddy
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 950
- 1,672
Aisee.. Mawazo yako ndio maisha yakoYaani wewe chokoraa wa Jamii Forum unamuona harmo kachanganyikiwa !!!
Umute unaishi kwa dada yako unakula matunda ya jitihada za dada yako chumbani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee.. Mawazo yako ndio maisha yakoYaani wewe chokoraa wa Jamii Forum unamuona harmo kachanganyikiwa !!!
Umute unaishi kwa dada yako unakula matunda ya jitihada za dada yako chumbani.
Anakosa huku wasafi anapata kule clouds- lose-gain, gain-loseDogo anaharibu sana kuwatukana Wasafi.
Nimesikia anasema alikuwa hayupo huru ndani ya Wasafi eti anafurahi kupata interview clouds alimis kuwa na amani.
Mtizame yule Qboy mnayedai alinyonywa WCB anaomba msamaha anataka arudi tena kundini.Ongeeni tu ila MUDA mwalimu mzuri sana.Kabisa yan yy anafanya vitu kwa faida yake
Kwa ujio wa harmonize kiba ajiandae kua mpenz mtazamaj kama ataendeleza uzuzuKiba bado anahesabika kama msanii wa ushindani?
Kawaachia Nyimbo Na YouTube ChanelMavoko hana ujinga wa kulipa
Qboy leo analia anaomba arudi WCB,baniani mbaya kiatu chake dawa.Jana Nimemwona QBoy Amebaki Kuwa Kinyozi Tu, Kariakoo !
Domo Ukimchekea Utabaki Kupata Tu Sifa Mitandaoni, Mademu, Na Show Offs.
Ukichokwa Unapigwa Chini, Unapotea.
Harmonize Kashtuka Mapema. Anaweza Kuinuka
Nilikuwa Siko Huru Ndani Ya Wasafi.... Hili ni Tusi?Dogo anaharibu sana kuwatukana Wasafi.
Nimesikia anasema alikuwa hayupo huru ndani ya Wasafi eti anafurahi kupata interview clouds alimis kuwa na amani.
Qboy Analia Kwa Kuwa Alishafanywa Mtumwa, Kitu Ambacho Ni Upumbavu.Qboy leo analia anaomba arudi WCB,baniani mbaya kiatu chake dawa.
Naona wamewaiga wasafi muonekano wa studio
Kwa hiyo analilia kurudi kule aliko kuwa ANANYONYWA?Qboy Analia Kwa Kuwa Alishafanywa Mtumwa, Kitu Ambacho Ni Upumbavu.
Kwa Muda Wote Aliofanya Kazi Na Domo, Ni Jambo La Ajabu Sana Kushindwa Kujitegemea
Ni tusi kubwa sana lakini ndio ukweli wenyewe huo hakuna jinsi ya kuacha kuusemaNilikuwa Siko Huru Ndani Ya Wasafi.... Hili ni Tusi?
Huyo Ni Takataka, Alikuwa Haingizi Chochote Zaidi Ya Kutumia.Kwa hiyo analilia kurudi kule aliko kuwa ANANYONYWA?