Labda wewe mwanasheria wa Wasafi uniambie ulisainiwa lini na kwa masharti gani maana ulikuwepoKwani mkataba alisaini wakati anaingia wasafi au juzi wakati anatoka juzi.. wakati anafikiria kutoka hakuyajua haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wewe mwanasheria wa Wasafi uniambie ulisainiwa lini na kwa masharti gani maana ulikuwepoKwani mkataba alisaini wakati anaingia wasafi au juzi wakati anatoka juzi.. wakati anafikiria kutoka hakuyajua haya
Waliseama clouds ni wanyonyaji kwa wasanii,MNYONYAJI MWINGINE HUYO HAPOKosa la Diamond ni nini hapo??? Mkataba aliousaini ndio umemtaka alipe hizo fedha tatizo lipo wapi kwa Diamond.
We ujui kitu na ujui angle ipi clouds analaumiwa na kutokujua kwako sio kosa lako Bali ufuatilii mziki kiufupi unadandia dandia ungekuwa unafuatilia mziki vizuri usingeniuliza Hilo swali
uki Edit post unapata faida gani?Unanijua personally? Mbona umekomaa kutukana watu humu, kwani huyu Hermonize anakufira?
Huo mkataba ni wa kukomoana its as if wamemwambia arudishe kila kitu alochovuna alipokuwa wasafi wkt wao pia walipata faida sana kupitia Harmonize
uki Edit post unapata faida gani?
Ila hapa ndo huwa nasema maisha ya kuigiza siku zote in ghalama! kwahiyo mbwembwe zoooooote hata million 500, imemtia jasho???? mpaka ameuza vibanda 3 na bado hajamaliza den??? sasa huo utajili ambao huwa wanajitapa uko wapi???????????? hiv wanaelewa maaana ya utajiriii
Huo mkataba ni wa kukomoana its as if wamemwambia arudishe kila kitu alochovuna alipokuwa wasafi wkt wao pia walipata faida sana kupitia Harmonize
Wasanii ni jeuri sana mkuu. Bila mkataba wa kumbana sana atakuachia manyoya wewe boss wake. Kama hivyo bila mkataba wa kumbana kama hivyo,unafikiri angeondokaje? Kwa fujo na jeuri huku akiendelea kutumia vitu alivyokwezwa kutokea WCB. Yeye tayari kanufaika na kukuzuia brand yake,na sasa imekuwa kuuubwa,Je unafikiri WCB wangenufaika na nini?. Wasanii wote hata USA,mikataba yao iko hivyo. Fukunyua mikataba ya Michael Jackson
Labda wewe mwanasheria wa Wasafi uniambie ulisainiwa lini na kwa masharti gani maana ulikuwepo
Kwa hiyo akiupata uwaziri dai atashaaAsihofu acha awalipe maana domo ana wivu sana, anataka awe mfalme peke yake, kwanza mwakani anakuwa mbunge atapata na uwaziri wa michezo, akichanganya na kipaji chake atapata hizo nyumba mapema tu.
Hukuwahi kumsikia Diamond akisema Harmonize ndiyo msanii mwenye pesa kuliko wote WCB sasa leo kakosa 500 mpaka kauza kila kitu ili alipe deni na bado hazijafika, wasanii sikiliza miziki yao siyo maneno yao utapotea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapana mkuu, Mondi hakosi aisee. Mikataba na matangazo yote anayofanya siyo mchezoo! Alafu sijawahi ona msanii under WCB akifanya endorsement zaidi ya Mondi.
Dogo anaharibu sana kuwatukana Wasafi.
Nimesikia anasema alikuwa hayupo huru ndani ya Wasafi eti anafurahi kupata interview clouds alimis kuwa na amani.
Una taarifa zile V8 mbili za zawadi jamaa kachukua kwa mkopo na siyo cash ila huku mtaani watu wanajua jamaa katoa cash zaidi ya 400[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapana mkuu, Mondi hakosi aisee. Mikataba na matangazo yote anayofanya siyo mchezoo! Alafu sijawahi ona msanii under WCB akifanya endorsement zaidi ya Mondi.
Hahah wataanza kupiga nyimbo zake mpya.Kwahiyo Clouds watakuwa wanapiga nyimbo za harmonize alizoshirikiana na wasanii wa wasafi au wataendeleza utoto wa ku mute ?
Dai ashae kwa lipi? nimesema atanunua nyumba nyingine eboh!Kwa hiyo akiupata uwaziri dai atashaa