Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata singrend kama over sizeKuna kitu kinafanyika kwa kumtumia huyu jamaa, ukiangalia kwa picha tu hafananii kabisa maisha hayo... Ona jeans aliyovaa
Angali singrend mkuuIna nn na wwe
Abadili ajiite nani? Akibadili na yeye anabadili anaongezea rapa kwa mbelehivi harmonize hawezi badili jina ili amuachie huyu jamaa? maana kufananishwa na watu wa ajabuajabu namna hii hatareee
Ashakuwa staa mwenzako. Unataka kujifananisha nae??Anautafuta ustaaa kwa tochi
Uuuuuwiiiiiii!!![emoji23] [emoji23] [emoji23]Abadili ajiite nani? Akibadili na yeye anabadili anaongezea rapa kwa mbele
Ni wewe kama ulikuwa hujui.Hamorapa ni nani? Sorry, nimekua nikisikia hilo jina ila sijui ni nani?
kweli mkuu ila huyo dada ni mjanja mjanja pole pole mambo yatanyooka vizuri.Penzi laweza chipuka popote.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo atakuwa analake analotafuta sasa.Abadili ajiite nani? Akibadili na yeye anabadili anaongezea rapa kwa mbele
[emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23]