Harmorapa Fans' Special Thread...

Dogo Kaanza na kiki kwanza kisha ndio atatoa wimbo,wenzake wanatoa nyimbo kwanza kisha zinafuata kiki.
 
Hamorapa ni nani? Sorry, nimekua nikisikia hilo jina ila sijui ni nani?
 
Daaa, Nitoke vipi? Ndio hii sasa! Hapo ujue jamaa keshatoboa!
Hata akiita show kwa ajili ya kumwangalia tu watu watalipa viingilio. Unajua tena, sasa hata celebrities forum anajadiliwa, Mawingu TV nsa karibia social media zote!
Hata akija kusema tu hi! Watu Wataenda.
From Vingunguti to.......
Safari ndio imeanza!
 
Mimi nimefurahi alivyoingia jikoni, afu akawa anashika hichi anaacha anashika tena kile anaacha, yaani alikua hajui afanye nini kabisa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hpa kna k2 sio bure..
Mbna km houseboi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…