T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Nimekaa[emoji23]Wee bana weww kaa hapa tupige umbea,umbea na critical thinking haviendani kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekaa[emoji23]Wee bana weww kaa hapa tupige umbea,umbea na critical thinking haviendani kabisa.
Ila we sio kwa chambo za manara nakwambia.We mwenyewe mbeya tu
Jana alipoa alikutana na mabilionea halisi Sio yeye bilionea wa kuchora hahahaaBabu sijui anaumwa siku hizi kakimbia jf,ile kumsifia meko hakupewa hata ukatibu wa kata
We yale madela nna mpango wa kununua moja ,,nilikate liwe fupi nivalie na raba.Wewe ni chura ndo maana, vyura hamjielewi na madela yenu ya atlas acha awape doz😆😆
Weeeeeeeh usinipimie.Aisee ukilinunua niambie nikichek tukatembee chura. Can't imagine utakavyokua kituko
Madai yake anamrusha roho mtalaka mdogo.
Mswahili mno.
Hivi odo sisi kanisani hapatuhusu maana tunapiga umbengenya tu hapa.
Ayaaaaah.Hao wazazi waliompa haji manara mke hawampendi, afadhali wangempeleka hata kujifunza ufundi wa cherehani ungemsaidia maishani.
Nimekuchekesha kwa lipi?Haya nimekuacha kwa upole tu.
Ila umenichekeshaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni toy sio jambia kweliIla kanzu ya Haji utadhani dela la shughuli na huu utamaduni wa kuvaa majambia utadhani tupo Mekka kuna siku atakuja kuvaa kichaa halafu iwe mshike mshike kwenye shughuli.
Eeeeeaaaasssy easy.Nimekuchekesha kwa lipi?
Haji keshakuambia dada ni inteligent.Hao wazazi waliompa haji manara mke hawampendi, afadhali wangempeleka hata kujifunza ufundi wa cherehani ungemsaidia maishani.
Kwani unafikiri wakati anakaa na mama yake alikuwa mtoto?Umri huo hajajenga?au ndio maisha ya umaarufu upange kwa wanene
Haji keshakuambia dada ni inteligent.
Sijui wamesema marketing officer aaa sikumbuki bwana weeee kazi yake
Lakini kameenda enda shule.
Kwani unafikiri wakati anakaa na mama yake alikuwa mtoto?
Yaani kaolea kwao watoto kazalia kwao.
Mjomba kama vile unasahau akili za watoto wa magomeni.
hongera Kama hujawahisijawahi chepuka, i like wakubwa wenzangu