Harusi ya Haji Manara

Harusi ya Haji Manara

Aisee ukilinunua niambie nikichek tukatembee chura. Can't imagine utakavyokua kituko
Weeeeeeeh usinipimie.

Sema niiini, itabid nilipasue huku na huku kulipa swagz.
Nawaza Manara atajavokuja kuiponda ile jezi.
Mxxxxxxiiie, mi ndo mana simuonei huruma.
 
Madai yake anamrusha roho mtalaka mdogo.
Mswahili mno.


Hivi odo sisi kanisani hapatuhusu maana tunapiga umbengenya tu hapa.

Waoaji wenyewe ndio sisi tuko wote hapa tunachapa umbea kuja kukumbuka masuala ya ndoa roho mtakatifu atushukie.
 
IMG_6130.jpg

Bwana harusi enzi za uzee wake.
 
Hao wazazi waliompa haji manara mke hawampendi, afadhali wangempeleka hata kujifunza ufundi wa cherehani ungemsaidia maishani.
Haji keshakuambia dada ni inteligent.

Sijui wamesema marketing officer aaa sikumbuki bwana weeee kazi yake

Lakini kameenda enda shule.
 
Haji keshakuambia dada ni inteligent.

Sijui wamesema marketing officer aaa sikumbuki bwana weeee kazi yake

Lakini kameenda enda shule.

Haji muongo yule, pamoja na yote Dada angeenda kuongeza hata ujuzi wa ufundi cherehani, wake wawili wote wale wako wapi tena wazuri wale
 
Kwani unafikiri wakati anakaa na mama yake alikuwa mtoto?

Yaani kaolea kwao watoto kazalia kwao.

Mjomba kama vile unasahau akili za watoto wa magomeni.

Basi wale mabalozi wa ASAS nao wanavimba kama matajiri akiwepo huyo bwana harusi kichomi
 
Back
Top Bottom