Harusi ya Mwanamuziki Ali Kiba kurushwa live na Azam Tv pekee

Watu wangu wanateketea kwa kukosa maarifa
 
Ni muendelezo wa mawazo ya kimaskini uliogubika nchi zetu za kiafrica, kwani akifanya kawaida atapungukiwa nini kuliko kutumia fedha vibaya kiasi hiko? Watu wanakufa njaa huko badala ya kuwasaidia wao wanafuja fedha!!!.
Hao wanaokufaa njaa hawana serikali?
 
Mambo ni motrroooo!!Isha Mashauzii huyoo na sorry sorry...
 
Hahaaaahaaa!kabisaa
Zitto Kabwe hapo alipata tu waandishi wa habari uchwara wa online tv na blogs kama wawili watatu hivi siku ile anachambua ripoti ya CAG ya upotevu wa trillion 1.5 feza za walipa kodi!.....ila muone huyo jamaa mwingine huyo na mic zake sijui alikuwa anaomba radhi huko TCRA kwa kuweka dushe lake kwenye mitandao kitu kama hicho![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Watu wanavyosema watanzania ni jamii ya kipuuzi ni sawa kabisa....Kiba anafunga ndoa kivyake, watanzania wanataka iwe ndoa ya taifa.
 
Anajionyesha kwenye mambo muhimu ya kheri yampendezayo Mungu sio ujinga wa kutia vidole wanawake
Lakini point inabaki pale pale hua anasema sio mtu wa kujionesha lakini ndo hivyo alitaka kujionesha lakini haikuwezekana
 
i just love the attention the media and bloggers of kenya are giving to ali kiba's wedding.

it's indeed we run the showbiz in EA.
viva tanzania [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
View attachment 750340View attachment 750341

NB:
the swahili ceremony party is taking place right now in mombasa.

you can watch the event live on azam tv decoder via channel number 103 or azam tv app.
mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji116] [emoji116] [emoji116] View attachment 750343
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…