Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheki post #8, wenzio wametangulia backstage [emoji16]Nasemajeeeee, WATAACHANA TU.[emoji276]
All the best I love them!!!Kapo pendwa kunako Bongo Fleva, Billnass au Nenga na Nandy ‘The African Princess’ wanatarajia kufunga ndoa Juni 25, mwaka huu.
Hiyo ni kwa mujibu wa Baba wa Nandy, Charles Mfinanga alipokuwa akizungumza mara baada ya hapo jana Billnass kumvisha Nandy pete ya uchumba.
Utakumbuka hiyo ni mara ya pili kwa wawili hao kufanya hivyo, mara ya kwanza ilikuwa Aprili, 2020.
Hadi sasa katika muziki Nandy na Billnass wamefanikiwa kutoa nyimbo tatu pamoja, Bugana, Do Me na Party.
mungu yupi?Mapenzi bwana mnaeza mkadumu kwenye uchumba miaka hata saba ila kwenye ndoa mwaka mmoja visa kibao na ni mara chache sana ndoa za wasanii kwa wasanii kudumu ila mungu awatangulie.
kuna ngoma moja ya huyo kijana kama kumbukumbu ziko sawa aliimba"hawezi mwacha huyo binti hata kama anachangamoto ya kiafya.Pamoja na kashfa ya ngoma jamaa yupo tu kakomaa
Angewezaje kuacha pesa akimbilie ndoa bado mdooogo ivo😄😄😄Boss Ruge angekua hai hili lingetoke. Hongera zao nyingi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakazia [emoji23] Alimvisha pete kwa kupiga goti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi si alishavishwaga Pete huyu!au waliufuta uchumba wakaanza upya!
Mungu awatangulie sana wasiache kusali pamoja maana ndio kipindi ambacho anko Devil huanza vurugu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Boss Ruge angekua hai hili lingetoke. Hongera zao nyingi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] make ups, photoshoot, na filters? Au nn?Nampenda Sana Nandy, nadhani ndo mwanamke mzuri kuliko wote Tanzania kwa mtazamo wangu.Hongere kijana Billnass
Waliimba wote, "Do Me"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna ngoma moja ya huyo kijana kama kumbukumbu ziko sawa aliimba"hawezi mwacha huyo binti hata kama anachangamoto ya kiafya.