Harusi ya Nandy na Billnas ni Juni 25, 2022

Harusi ya Nandy na Billnas ni Juni 25, 2022

Kapo pendwa kunako Bongo Fleva, Billnass au Nenga na Nandy ‘The African Princess’ wanatarajia kufunga ndoa Juni 25, mwaka huu.

Hiyo ni kwa mujibu wa Baba wa Nandy, Charles Mfinanga alipokuwa akizungumza mara baada ya hapo jana Billnass kumvisha Nandy pete ya uchumba.

Utakumbuka hiyo ni mara ya pili kwa wawili hao kufanya hivyo, mara ya kwanza ilikuwa Aprili, 2020.

Hadi sasa katika muziki Nandy na Billnass wamefanikiwa kutoa nyimbo tatu pamoja, Bugana, Do Me na Party.

All the best I love them!!!
 
Mapenzi bwana mnaeza mkadumu kwenye uchumba miaka hata saba ila kwenye ndoa mwaka mmoja visa kibao na ni mara chache sana ndoa za wasanii kwa wasanii kudumu ila mungu awatangulie.
mungu yupi?
 
Kwenye kumvalisha pete naona Nenga kapiga magoti yote wawili yani daah😆😆😆
 
Hivi si alishavishwaga Pete huyu!au waliufuta uchumba wakaanza upya!




Mungu awatangulie sana wasiache kusali pamoja maana ndio kipindi ambacho anko Devil huanza vurugu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nampenda Sana Nandy, nadhani ndo mwanamke mzuri kuliko wote Tanzania kwa mtazamo wangu.Hongere kijana Billnass
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] make ups, photoshoot, na filters? Au nn?
 
Back
Top Bottom