Hata rafiki yake Mandela hakutaka kumsamehe WinnieMchonga bwana, alipofariki Kambona mwaka 1997, huyu Flora hakutumiwa hata salaam za rambi rambi. Mchonga akikuchukia kakuchukia, harudi nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa kubwa la Kambona lilikuwa ni hilo la kuropoka na kumwambafy, hata kama ndiyo iliyokuwa imani yake, alitakiwa atumie diplomacy ili ashawishi vinginevyo. Katika kipindi hicho Kambona alikuwa akiaminiwa na kusikilizwa sana na Nyerere; ndiye aliyemshawishi Nyerere kuingia Muungano na Zanzibar. Iwapo angetulia na kumwambia Nyerere hebu tukae tuongee hili jambo kwa kina kabla hatujalitoa huenda mambo yasingekuwa hivyo ilivyotokea.Uvumilivu wa kukubali siasa za ndiyo mzee? Mzee wenyewe alisema hadharani kuwa baadhi ya maamuzi yake hayakuwa na tija.
Kambona alisimamia alichokiamini.
Shukran mkuu kwa Hii information.Kosa kubwa la Kambona lilikuwa ni hilo la kuropoka na kumwambafy, hata kama ndiyo iliyokuwa imani yake, alitakiwa atumie diplomacy ili ashawishi vinginevyo. Katika kipindi hicho Kambona alikuwa akiaminiwa na kusikilizwa sana na Nyerere; ndiye aliyemshawishi Nyerere kuingia Muungano na Zanzibar. Iwapo angetulia na kumwambia Nyerere hebu tukae tuongee hili jambo kwa kina kabla hatujalitoa huenda mambo yasingekuwa hivyo ilivyotokea.
Kuna watu wengi hawajui kuwa sababu moja kubwa iliyoletea azimio hilo la Arusha ni huo huo Muungano na Zanzibar, ambao Kambona aliusimamia sana. Baada ya Muungano kukatokea matukio mawili yalioyobadilisha mawazo ya Nyerere forever. La Kwanza ilikuwa ni amri ya Ujerumani Magharibi kwa Nyerere kuwa awatimue Ujerumani Mashariki na China ambao kwa kupitia Babu walikuwa na miradi huko Zanzibar; tena kwa vitisho vya kukatiwa misaada, yaani Nyere akaona kuwa sovereignty ya nchi inaingiliwa. La pili lilikuwa ni lile la marekani kuleta spy wao Mr Carucci kuwa mshauri wa Karume huku akiwa amemaliza kazi ya kumwua Patrice Lumumba huko Kongo; bwana huyu akaleta masharti yale yale ya kufukuza nchi za kikomunist tena kwa vitisho vya misaada vile vile. Kwa wale waliozaliwa wakati wa digitali, huenda hawajui kuwa kuna barabara zilizokuwa zinajengwa na Ujerumani Magharibi pale Dar es salaam zilivunjwa vunjwa na wajerumai hao kabla hawajaondoka, matanegezo ya hospitali ya Ocean road pia yalivunjwa na wajerumani waliokuwa wakiijenga upya. Kitu kimoja ambacho hawakuvunja ni Ukumbi wa Nkurmah nadhani kwa vile Nyerere aliamua kuwatiimua mara moja baada ya kuanza bomboa bomoa yao, hata hivyo hawakuumaliza ukumbi huo kama ulivyokuwa umesanifiwa.
Matukio hayo ndiyo yaliyoleta siasa ya kujitegemea: Nyerere akasema kuwa "Kujitawala ni kujitegemea; kujitawala kwa kweli hakuwezekani iwapo taifa moja linategemea misaada na mikopo ya taifa jingine kwa maendeleo yake." Miiko ya uongozi iliongezewa kwenye azimio lakini lengo kubwa ilikuwa ni kuweka mwamko wa wananchi kujituma na kujitegema. Kukawa msemo kuwa usiwe kupe jitegee.
Kwahiyo maneberu walifanikiwa kumshawishi kambona. Tena wakampa na mke.Kosa kubwa la Kambona lilikuwa ni hilo la kuropoka na kumwambafy, hata kama ndiyo iliyokuwa imani yake, alitakiwa atumie diplomacy ili ashawishi vinginevyo. Katika kipindi hicho Kambona alikuwa akiaminiwa na kusikilizwa sana na Nyerere; ndiye aliyemshawishi Nyerere kuingia Muungano na Zanzibar. Iwapo angetulia na kumwambia Nyerere hebu tukae tuongee hili jambo kwa kina kabla hatujalitoa huenda mambo yasingekuwa hivyo ilivyotokea.
Kuna watu wengi hawajui kuwa sababu moja kubwa iliyoletea azimio hilo la Arusha ni huo huo Muungano na Zanzibar, ambao Kambona aliusimamia sana. Baada ya Muungano kukatokea matukio mawili yalioyobadilisha mawazo ya Nyerere forever. La Kwanza ilikuwa ni amri ya Ujerumani Magharibi kwa Nyerere kuwa awatimue Ujerumani Mashariki na China ambao kwa kupitia Babu walikuwa na miradi huko Zanzibar; tena kwa vitisho vya kukatiwa misaada, yaani Nyere akaona kuwa sovereignty ya nchi inaingiliwa. La pili lilikuwa ni lile la marekani kuleta spy wao Mr Carucci kuwa mshauri wa Karume huku akiwa amemaliza kazi ya kumwua Patrice Lumumba huko Kongo; bwana huyu akaleta masharti yale yale ya kufukuza nchi za kikomunist tena kwa vitisho vya misaada vile vile. Kwa wale waliozaliwa wakati wa digitali, huenda hawajui kuwa kuna barabara zilizokuwa zinajengwa na Ujerumani Magharibi pale Dar es salaam zilivunjwa vunjwa na wajerumai hao kabla hawajaondoka, matanegezo ya hospitali ya Ocean road pia yalivunjwa na wajerumani waliokuwa wakiijenga upya. Kitu kimoja ambacho hawakuvunja ni Ukumbi wa Nkurmah nadhani kwa vile Nyerere aliamua kuwatiimua mara moja baada ya kuanza bomboa bomoa yao, hata hivyo hawakuumaliza ukumbi huo kama ulivyokuwa umesanifiwa.
Matukio hayo ndiyo yaliyoleta siasa ya kujitegemea: Nyerere akasema kuwa "Kujitawala ni kujitegemea; kujitawala kwa kweli hakuwezekani iwapo taifa moja linategemea misaada na mikopo ya taifa jingine kwa maendeleo yake." Miiko ya uongozi iliongezewa kwenye azimio lakini lengo kubwa ilikuwa ni kuweka mwamko wa wananchi kujituma na kujitegema. Kukawa msemo kuwa usiwe kupe jitegee.
Kambona alitaka kumwua Nyerere Mwaka 1968 au 1969 baada ya mfarakano huo; hiyo ndiyo iliyokuwa kesi ya uhaini ya kwanza. Iliwahusisha akina Grey Likungu Mataka , John Dunstan Chipaka, Bibi Titi Mohammed, Michael Marshall Kamaliza , Eliya Dunstan Chipaka, William Makubri Chacha na Alfred Phillip Millinga.Mchonga bwana, alipofariki Kambona mwaka 1997, huyu Flora hakutumiwa hata salaam za rambi rambi. Mchonga akikuchukia kakuchukia, harudi nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio.Flora alikuwa mzungu?
Flora alikuwa mzungu?
Hapana; ni huyu hapaNdio.
Cc RRONDO mzee wa classIt was so classic, class you are born with it.
SafiMchaga
View attachment 1051542
Julius Nyerere ndiye alikuwa mpambe wa bwana harusi.
Teh ..Enzi hizo Za Siasa Za Kijamaa watu hawakutaka ku reason
Tuliambiwa Kambona kakimbia Na Pesa zote Za Hazina ndio sababu Nchi ina Ukame, njaa Na Kila aina ya Mabalaa
Tukaimbishwa Nyimbo Za kumdhihaki Kambona Kuwa anatumwa Na Makabaila Na Mabebebru
Nakumbuka sehemu ya Nyimbi hizo
'... Siri imefichuka Kambona boi wa Wazungu...'
Taifa hili haitokuja kutokea kupata Rais Mwenye Propaganda chafu kama Mzee Nyerere
Ufinyu wa akili zenu mnawasingizia wazungu. Waingereza wasingemtaka Nyerere unafikiri wangeshindwa kumwondoa ktk mazingira ya wakati huo. Kwanza waingereza walikuwa wanapenda nchi walizotawala kuongozwa na mtu waliyemkuza wao. Nyerere hadi anaanza siasa za ujamaa bado alikuwa anawaamini waingereza ktk mambo ya uongoziJibu hoja zangu kabla ya hoja yako mpya ya mapinduzi ya 1964.
Hizi info nyingi kwa sasa zinawezeshwa na Internet, hivyo nina hakika kutokana na hiyo copyright katoa hapa https://www.google.com/search?q=osc...x-DiAhWBoXEKHUehBFMQ_AUIECgB&biw=1366&bih=657Kuna mtu kauliza 'mbona Mwalimu Nyerere simuoni... jibu lake sasa nimechekaaaaa.....angalia kwa nguvu'
Hahahhh JF raha sana
**mate inaelekea una library ya kutosha....nice pic though
Weekend Njema!
Enzi hizo Za Siasa Za Kijamaa watu hawakutaka ku reason
Tuliambiwa Kambona kakimbia Na Pesa zote Za Hazina ndio sababu Nchi ina Ukame, njaa Na Kila aina ya Mabalaa
Tukaimbishwa Nyimbo Za kumdhihaki Kambona Kuwa anatumwa Na Makabaila Na Mabebebru
Nakumbuka sehemu ya Nyimbi hizo
'... Siri imefichuka Kambona boi wa Wazungu...'
Taifa hili haitokuja kutokea kupata Rais Mwenye Propaganda chafu kama Mzee Nyerere
This is purely not true! Hii uliyofanya hapa ndiyo propaganda yenyewe ya kupidisha ukweli au kupika taarifa kwa sababu za kibinafsi.Enzi hizo Za Siasa Za Kijamaa watu hawakutaka ku reason
Tuliambiwa Kambona kakimbia Na Pesa zote Za Hazina ndio sababu Nchi ina Ukame, njaa Na Kila aina ya Mabalaa
Tukaimbishwa Nyimbo Za kumdhihaki Kambona Kuwa anatumwa Na Makabaila Na Mabebebru
Nakumbuka sehemu ya Nyimbi hizo
'... Siri imefichuka Kambona boi wa Wazungu...'
Taifa hili haitokuja kutokea kupata Rais Mwenye Propaganda chafu kama Mzee Nyerere