majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 812
mbona nyerere na mwinyi hawakutofautiana hata mwaka mmoja lakini nyerere kamwachia uraisi?akini Kambona na Nyerere hawakuzidiana hata miaka mitano. Hivyo suala la kumrithi lisingewezekana na ndiyo maana Nyerere alilijua akawa na tahadhari na Kambona mapema sana.
unasimamia unachokiamini chini ya mtu? kazi yake ilitakiwa kua nyepesi kwa kutekeleza anachoambiwa na mkuu wake. Uingereza walikua hawataki Tanzania ya kijamaa na ndo waliomharibia.Uvumilivu wa kukubali siasa za ndiyo mzee? Mzee wenyewe alisema hadharani kuwa baadhi ya maamuzi yake hayakuwa na tija.
Kambona alisimamia alichokiamini.
Mkuu Sky Eclat, asante kwa kumbukumbu hii, taarifa kuwa Harusi ya Kambona, Nyerere ndiye alikuwa Best Man, niliwahi kuzisikia, ila leo ndio nimeona picha.
Mkuu Sky Eclat, asante kwa kumbukumbu hii, taarifa kuwa Harusi ya Kambona, Nyerere ndiye alikuwa Best Man, niliwahi kuzisikia, ila leo ndio nimeona picha.
Huyo best man kwenye hii picha sio Nyerere, na huyo maid if honor, pia sio mama Maria.
Kambona, Mtawali, Chipaka, Kanyama Chiume, etc, kabila ni wa Nyasa kutoka Makawi. Wakati wa mkoloni Mwingereza, Wamalawi ndio walikuwa very smart kwa clerical jobs. Wamalawi na Wanyasa wako very smart hadi Nywele, wanakata way waonekane kama wazungu.
Mpaka leo Wamalawi ni wasafi, there were times, the clienest city in Africa, was Lilongwe. Nimeishi kidogo Blantire, ila kwa mambo yetu yale, Wamalawi, hakuna kitu.
P
Mkuu una habari mpaka 2007 Wamalawi waliingia Uingereza bila viza. Ugomvi wa ziwa Nyasa Waingereza waliwaambia watawapa na lawyer bure wakipeleka kesi mahakamani.Mkuu Sky Eclat, asante kwa kumbukumbu hii, taarifa kuwa Harusi ya Kambona, Nyerere ndiye alikuwa Best Man, niliwahi kuzisikia, ila leo ndio nimeona picha.
Huyo best man kwenye hii picha sio Nyerere, na huyo maid if honor, pia sio mama Maria.
Kambona, Mtawali, Chipaka, Kanyama Chiume, etc, kabila ni wa Nyasa kutoka Makawi. Wakati wa mkoloni Mwingereza, Wamalawi ndio walikuwa very smart kwa clerical jobs. Wamalawi na Wanyasa wako very smart hadi Nywele, wanakata way waonekane kama wazungu.
Mpaka leo Wamalawi ni wasafi, there were times, the clienest city in Africa, was Lilongwe. Nimeishi kidogo Blantire, ila kwa mambo yetu yale, Wamalawi, hakuna kitu.
P
Mkuu Sky Eclat, asante kwa kumbukumbu hii, taarifa kuwa Harusi ya Kambona, Nyerere ndiye alikuwa Best Man, niliwahi kuzisikia, ila leo ndio nimeona picha.
Huyo best man kwenye hii picha sio Nyerere, na huyo maid if honor, pia sio mama Maria.
Kambona, Mtawali, Chipaka, Kanyama Chiume, etc, kabila ni wa Nyasa kutoka Makawi. Wakati wa mkoloni Mwingereza, Wamalawi ndio walikuwa very smart kwa clerical jobs. Wamalawi na Wanyasa wako very smart hadi Nywele, wanakata way waonekane kama wazungu.
Mpaka leo Wamalawi ni wasafi, there were times, the clienest city in Africa, was Lilongwe. Nimeishi kidogo Blantire, ila kwa mambo yetu yale, Wamalawi, hakuna kitu.
P
Tuamini lipi sasa?
Hata Mimi nilimzoom nikajisemea huyu sio nyerere nikajipatia majibu labda hajaonekana kwa pichaHaka ka binti Sky Eclat kana powers fulani ndani yake, zinaitwa the powers of auto suggestion, kama ilivyo hyonotic powers, sasa katuletea picha ya mtu tuu na kutuambia ni Nyerere, kupitia hizo powers zake, wengi wakiangalia tuu hiyo picha, wanamuona Nyerere, wachache wakauliza mbona sio Nyerere, kakajibu ni Nyerere, hivyo wameamini.Mimi bahati nzuri Nyerere sio namjua kwenye picha, bali nimefanya nae kazi South South Commission, hivyo kwa kuiona tuu hiyo picha, unaona kabisa huyo sio Nyerere.Amini macho yako, ukimuona ni Nyerere, kaamini hako kabinti, ukimuona sio, niamini mimi.P
Mkuu SKY, you are very powerful woman mwanamke wewe, una nguvu zinazoitwa the powers of auto suggestions, ni hypnotic powers ambazo wana mazingaombwe wanazitumia.Mkuu una habari mpaka 2007 Wamalawi waliingia Uingereza bila viza. Ugomvi wa ziwa Nyasa Waingereza waliwaambia watawapa na lawyer bure wakipeleka kesi mahakamani.
Kuna hospitali ya ma-TX Blantyre ukifanya kazi hapo kwa miaka miwili unaweza kuomba ajira direct NHS.
Umeamua kujipigia pande afisa[emoji3]Mkuu SKY, you are very powerful mwanamke wewe, una nguvu zinazoitwa the powers of auto suggestions, ni hypnotic powers ambazo wana mazingaombwe wanazitumia.
Umeweka picha ya mtu na kusema ni Nyerere, watu Nyerere tunamjua, na tunaona kabisa huyo sio Nyerere lakini wengi wakiangalia tuu kwa makini, wanamuona ni Nyerere! kutokana na power of auto suggestion yako.
Kama bado uko single, ukitokea mtu wa mtu akakupitia anga zako, mwenye mali aandike maumivu, atahangaika sana!, mpaka utakapoamua wewe kuachia.
P
Ilikuaje tena mkuu,nipe neno kidogoKambona angekuwa mvumilivu angefika mbali
Vijana mnalakujifunza hapa sio kila muda kuropoka ropoka tu
God first
No sijipigii pande, bali, kuna watu wana powers bila kujijua, hivyo sisi wenye jicho la kuwabaini, tunawajulisha na ikibidi kuwa mentor man to man ili waweze ku open their power gates.Umeamua kujipigia pande afisa[emoji3]
Hawakuja kumlinda Kambona, bali ni kwa sababu ya Nyerere ambaye wakati huo alikuwa ni Chief Minister kwenye serikali ya Tanganyika chini ya Malkia. Vile vile uwapo wa watu wengi bila kujali ni nani mhusika, ni lazima usalama wa raia uhakikishe na vyombo vya dola.Maneno yako yana ukweli ndani yake, Hata mimi nilijiuliza askari hawa walipataje kulinda hii harusi wakati Kambona wala mkewe hawakuwa wa familia ya kifalme ya Uingereza. Kwanza kupata kibali cha kufunga ndoa St Paul’s si jambo la kitoto.
Hata alivyokimbilia Uingereza, alikuwa na matumaini ya kuendeleza mapambano ya kumng’oa Nyerere akiwa nje ya nchi.
Bahati mbaya au nzuri, ule ulikuwa ni wakati wa Cold War na Ujerumani Mashariki walitoa mafunzo mengi kwa Usalama wa Taifa. Tanzania ilikuwa na itelejensia ya hali ya juu.
Hawezi kuwa Mwalimu yule !!! Au na mimi sijatumia nguvu sawa sawa kuangalia...ha ha haaa! JF Asante.
Enzi hizo Za Siasa Za Kijamaa watu hawakutaka ku reason
Tuliambiwa Kambona kakimbia Na Pesa zote Za Hazina ndio sababu Nchi ina Ukame, njaa Na Kila aina ya Mabalaa
Tukaimbishwa Nyimbo Za kumdhihaki Kambona Kuwa anatumwa Na Makabaila Na Mabebebru
Nakumbuka sehemu ya Nyimbi hizo
'... Siri imefichuka Kambona boi wa Wazungu...'
Taifa hili haitokuja kutokea kupata Rais Mwenye Propaganda chafu kama Mzee Nyerere
mchagaFlora alikuwa mzungu?