Harusi za Wasomali ni nusu vita

Harusi za Wasomali ni nusu vita

Sisi kwetu muoaji unapelekwa kwa chifu unavuliwa nguo alafu unamwagiwa maji ya baridi (kama yale yanayoanza kuganda)alafu mwanamke wako analetwa anaambiwa akuchezee dushe ndani ya sekunde 12 lisipoamka my braza mke hupewi unaambiwa mizimu imekataa[emoji2][emoji2]
Hamuonjani kabla?
 
Sisi kwetu muoaji unapelekwa kwa chifu unavuliwa nguo alafu unamwagiwa maji ya baridi (kama yale yanayoanza kuganda)alafu mwanamke wako analetwa anaambiwa akuchezee dushe ndani ya sekunde 12 lisipoamka my braza mke hupewi unaambiwa mizimu imekataa[emoji2][emoji2]
Wapi huko Urusi au Makete 😂 😂 😂

Everyday is Saturday................................😎
 
Black hawk Dawn

Wala mirungi maarufu East Africa na Africa kwa ujumla..

Wachuga chuga Wana meno yaliyoharibika Ila wasomali wamezidi...

Wana pisi za ukweli...
Nilitaka Kuongeza Mke nitaoa msomali..

Ni watafutaji mnoooh...
 
Alafu Mimi natembea na mwanamke wa kimachame mwaka wa 3huu.
kama unawajua wanawake wa kimachame walivyo pasua kichwa lakini kwangu katulia.
Hao wasomali siwapendi tu.
Utakuja kutulia siku akikuua akarithi mali zako, mjengo, magari.
Ukiona ametulia ujue anakulia timing hadi ufanikiwe kwanza kimaisha.
 
Mwanamke wa kisomali mwenyewe hataki mtu kama wewe Goigoi ngozi ya goti, hela za kuunga. Daima mwanamke wa kisomali ni wa kulelewa ndani na vacation abroad...Dubai, Venice, Paris na New York. Endelea na hao hao wa kinondoni.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] acha fix mzee somalia njaa tu kule
 
Back
Top Bottom