Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #61
Mnubi huyu wa Sudan KusiniHuyu sijui atakuwa Wa south Sudan, ama pokot ya Kenya.View attachment 1715287
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnubi huyu wa Sudan KusiniHuyu sijui atakuwa Wa south Sudan, ama pokot ya Kenya.View attachment 1715287
Mnubi huyu wa Sudan KusiniHuyu sijui atakuwa Wa south Sudan, ama pokot ya Kenya.View attachment 1715287
Ni blanks hizo; aliyekuwa anamwonyesha mwezie aelekeze bunduki hewani ni kuzuia blanks hizo zisichome watu kwa vile blancs kwa umbali mfupi huwa zinachoma moto.Zitakuwa za moto. Umeona mmoja anamuelekeza mwenzake aelekeze juu.
Bujibuji hivi Una habari Tanzania pia kuna wanubi.Mnubi huyu wa Sudan Kusini
Niambie mjuba,hii hata hapo wakei ipogi hii,iko maeneo inaitwaga samburu huko njia ya kuelekea sehemu moja inaitwaga mararai iko kabila moko ianitwa pokot,unakutana na dogo anachunga mangishu anae AK47,yani kwao ni kama fimbo wanayotumia machali wakiwa machungani hapo oldonyo.chaaaaaa charii hii kitu aa hapana chezea mutu hapa hii ni girl ya huko Juba kwa Salva kiir sitaki hata ukinipea bure walaah!
Yemeni ndio kumechoka hivyo?Hao unaowaona kwenye hiyo harusi sio Wasomali, hao ni Wayemen, hapo ni Yemen sio Somalia.
Hao ni jamii ya watu wa Afghanistan/ waarabu wa huko BujibujiAcha udwanzi hao sio wasomali ni waarabu
Achana na msomali anapeleka biashara mahali anapanga kachumba maisha duni lakini anafanya biashara za pesa kubwa na matumizi Yao ni madogo, anaangalia anachoingiza akitumika kidogo.
Bila matusi comment hainogi?Acha udwanzi hao sio wasomali ni waarabu
Wewe ulikua unawaza Yemen ni kama Newyork? Yemen ni nchi masikini tu.Yemeni ndio kumechoka hivyo?
Sahihi kabisa hao sio wasomali bali ni Waarabu wa Yemen.Acha udwanzi hao sio wasomali ni waarabu
Nenda Mombasa kuna Club inaitwa Casablanca,wamejaa kibao wanajiuza wengi wao hawana antenaNtatembelea siku moja huko
Haha hahah hao ni walokole wa huko kwao, Bado harusi ya Al Shabaab hujaiona weweHapo kuna kuchepuka kweli? Au kubeba mke wa mtu? Ila bwana harusi amebeba mtutu pia. Au ni harusi ya al-shababu?
Si ulete video tuone basi.Haha hahah hao ni walokole wa huko kwao, Bado harusi ya Al Shabaab hujaiona wewe
Coming soonSi ulete video tuone basi.
samahani mkuu hivi wasomali ndo hao hao waethiopiaNafikiri hapo walikuwa wanachezea blancs tu; kwa risasi za moto, hapo kuna watu wangejeruhiwa kwa vile kuna waliokuwa wanashika bunduki hizo bila kujua ugumu wa recoil yake.
Na mimi sasa harusi yangu ijayo mimi nitaiandaa hivyo hivyo ila kwa risasi za moto kwelikweli.
Ukikutana na wanawake wa kisomali ughaibuni, huwa hawapendi kuitwa wasomali, bali huwa wanajitambulisha kuwa ni Wakenya. Mara chache sana wataweza kukuambia kuwa ni waethiopia.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sisi kwetu muoaji unapelekwa kwa chifu unavuliwa nguo alafu unamwagiwa maji ya baridi (kama yale yanayoanza kuganda)alafu mwanamke wako analetwa anaambiwa akuchezee dushe ndani ya sekunde 12 lisipoamka my braza mke hupewi unaambiwa mizimu imekataa[emoji2][emoji2]