Harusi za Wasomali ni nusu vita

Harusi za Wasomali ni nusu vita

Waamerika wametolewa Somalia juzi tu, Trump kabla hajaondoka mamlakani. Nchi kama Iraq na Afghanistan wameziharibu toka zamani na wameuliwa wengi pia na vifaa vyao kuharibiwa na vya maana sembuse hiyo Somalia ambayo hata kikosi cha NAVY hamna ata?
[emoji3577]
 
wanajiuza kwa sabau wamekosa watu wenye pesa wa kuwaweka ndani. Usitegemee uoe msomali akafanye Mama Ntilie kama mwanamke wa Kisambaa
Wasomali kibao wanapiga biashara za kawaida ka kupika viazi /bagia na hata maduka ya leso na khaga Mombasani hapa. Wenye kuishi maisha ya vacation mbele mbele ni wale wameozwa au kuoa kwenye familia dingi wenyewe kwa wenyewe. UK wako wengi tu!
✌️
 
Huyu sijui atakuwa Wa south Sudan, ama pokot ya Kenya.
IMG-20210103-WA0019.jpg
 
Wasomali waliwapiga Wareno kwenye vita ya Barawa na kuwaondoa Wareno Mombasa Leo hii tuwashukuru Ndugu zetu hawa wenye asili ya Uhabeshi kwa kuwaondoa Wareno kwenye Pwani ya Afrika ya Mashariki
 
Back
Top Bottom