Harusi za Wasomali ni nusu vita

Harusi za Wasomali ni nusu vita

Nafikiri hapo walikuwa wanachezea blancs tu; kwa risasi za moto, hapo kuna watu wangejeruhiwa kwa vile kuna waliokuwa wanashika bunduki hizo bila kujua ugumu wa recoil yake.

Na mimi sasa harusi yangu ijayo mimi nitaiandaa hivyo hivyo ila kwa risasi za moto kwelikweli.

Ukikutana na wanawake wa kisomali ughaibuni, huwa hawapendi kuitwa wasomali, bali huwa wanajitambulisha kuwa ni Wakenya. Mara chache sana wataweza kukuambia kuwa ni waethiopia.
Mkuu unajua blanks zinavyo pigwa kwenye silaha au ujui tukufahamishe.
 
Ni blancs hizo; aliyekuwa anamwonyesha mwezie aelekeze bunduki hewani ni kuzuia blancs hizo zisichome watu kwa vile blancs kwa umbali mfupi huwa zinachoma moto.

Risasi ya moto ukielekeza juu utapa reflection ya shockwave; ambayo husikii kwenye hiyo milipuko.
Asante mtaalamu sie WA kuja tulijua njugu za ukweli. Ila hata kama ni Sauti Tu bi harusi wa kutoka Buza angepekekwa huko angezimia. Nahisi bunduki ni za kweli, bunduki harusini?
 
View attachment 1715207

Maisha ya Wasomali yamejaa mikiki miki mingi tangu kuzaliwa hadi kifo. Ni watu wasioijua amani, na huenda wala hawaipendi.

Wamezaliwa na bunduki na wanakuta nazo. Misibani wanafyatua marisasi na harusini pia.

Wasomali ndio wababe wa Kiafrika, hawa walilishinda Jeshi la Marekani hadi Wamarekani wakakimbie na hawana hamu Tena ya kurudi Somalia.
Chakula hawana, ila bunduki na risasi za Kukosha, Mungu kweli Fundi
 
View attachment 1715207

Maisha ya Wasomali yamejaa mikiki miki mingi tangu kuzaliwa hadi kifo. Ni watu wasioijua amani, na huenda wala hawaipendi.

Wamezaliwa na bunduki na wanakuta nazo. Misibani wanafyatua marisasi na harusini pia.

Wasomali ndio wababe wa Kiafrika, hawa walilishinda Jeshi la Marekani hadi Wamarekani wakakimbie na hawana hamu Tena ya kurudi Somalia.
Acha uongo,u.s.a hawajahi kushindwa vita.somalia hakuna cha maana kule
 
Al Shabaab kila siku wananishauri nijiunge nao, mi nawakatalia.
 
Mkuu unajua blanks zinavyo pigwa kwenye silaha au ujui tukufahamishe.
Umemuuliza swali zuri sana na ukweli ni kwamba kwenye AK 47 blanks huwezi kupiga hivyo ganda huwa linakwama kwenye extractor hivyo ejector inashindwa kutoa ganda.
 
Back
Top Bottom