Harvard University: Hotuba ya Hayati Rais Benjamin Mkapa

Harvard University: Hotuba ya Hayati Rais Benjamin Mkapa

Kituko ilikuwa rais wa awamu ya Tano. Hata maji alikuwa hawezi kuomba. Aliogopa kusafiri nje sababu ya lugha.

Nakumbuka alienda Zimbabwe akaongea kiingereza chake viongozi wenzie hawakuelewa ana Manisha nini. Sentence hovyo kabisa.

Ben Sanane akauliza uhalali wa PhD yake, akapotezwa mpaka Leo.
 
Back
Top Bottom