Harvard University: Hotuba ya Hayati Rais Benjamin Mkapa

Harvard University: Hotuba ya Hayati Rais Benjamin Mkapa

Tupo pamoja mkuu..

Ila Mzee Mkapa alikuwa mwandishi wa habari pia....Sasa kutopenda kuongea na waandishi wenzake inashangaza sana.

..waandishi wengi hapa Bongo wana utoto-utoto mwingi.

..wengi wao hawajiandai kabla ya kufanya mahojiano na wahusika toka kada mbalimbali.

..mara nyingi nikisikiliza interviews wanazofanya waandishi wetu naishia kusikitika au kukereka. There are a lot of missed opportunities because our reporters can not ask follow up questions on anything.

..Naamini hali hiyo ndiyo iliyomfanya Mzee Mkapa akose hamu ya kuongea na waandishi wa habari wa hapa nchini.

Cc Pascal Mayalla
 
Hotuba ya Rais Benjamin Mkapa Harvard University Sept 15, 1999.

Pamoja na kuhutubia Rais Mkapa alijibu maswali toka kwa wanajumuiya ya Harvard.


Huyo mwenye suti ya njano ni JK
Screenshot_20220223-153525_Chrome.jpg
 
..nchi ilipoteza heshima yake wakati wa Magufuli.

..serikali yetu ilianza kusutwa na kuzomewa ktk uwanja wa diplomasia kwasababu ya kukiuka haki, na kukandamiza demokrasia.

..Tanzania haikuwahi kuchafuka kimataifa kama wakati wa Rais Magufuli ambapo nchi wahisani zililazimika kutususia.

..Rais Samia ameeleza kwamba EU walikuwa wamezuia fedha za miradi ya maendeleo mpaka majuzi serikali ilipoamua kubadili muenendo wake.
Una hoja, ila pia utambue kujenga taifa imara na lenye nguvu sio kutafuta tu namna ya kupata Hela za wazungu, hivi unaona sawa taifa huru kwa miaka 60 bado ni professional beggars?

Kwamba hatuna akili ya kukuza uchumi na kujitegemea kama taifa? Mambo kama kudhibiti idadi ya watu tu imetushinda ..tunaongezeka kwa Kasi bila mipango mizuri ya kiuchumi, angalia mazingira na miji yetu ilivyo jengwa, tutaendelea kuwa omba omba mpaka lini mkuu?

Kwa hali hii tutegemee kuheshimiwa as a race of people au ndio tutaendelea kuonekana takataka machoni mwa watu weupe? Lazima kifanyike kitu kututoa hapa zaidi ya kila kitu tunachotaka kufanya tumpigie magoti mzungu!!
 
..waandishi wengi hapa Bongo wana utoto-utoto mwingi.

..wengi wao hawajiandai kabla ya kufanya mahojiano na wahusika toka kada mbalimbali.

..mara nyingi nikisikiliza interviews wanazofanya waandishi wetu naishia kusikitika au kukereka. There are a lot of missed opportunities because our reporters can not ask follow up questions on anything.

..Naamini hali hiyo ndiyo iliyomfanya Mzee Mkapa akose hamu ya kuongea na waandishi wa habari wa hapa nchini.

Cc Pascal Mayalla
True, media yetu inakabiliwa na changamoto nyingi.



P
 
Mara mseme magufuli alisusiwa na wazungu na kuwekewa vikwazo,Mara mseme Magufuli alikopa Sana kwa wazungu which is which bandugu,?
 
Una hoja, ila pia utambue kujenga taifa imara na lenye nguvu sio kutafuta tu namna ya kupata Hela za wazungu, hivi unaona sawa taifa huru kwa miaka 60 bado ni professional beggars?

Kwamba hatuna akili ya kukuza uchumi na kujitegemea kama taifa? Mambo kama kudhibiti idadi ya watu tu imetushinda ..tunaongezeka kwa Kasi bila mipango mizuri ya kiuchumi, angalia mazingira na miji yetu ilivyo jengwa, tutaendelea kuwa omba omba mpaka lini mkuu?

Kwa hali hii tutegemee kuheshimiwa as a race of people au ndio tutaendelea kuonekana takataka machoni mwa watu weupe? Lazima kifanyike kitu kututoa hapa zaidi ya kila kitu tunachotaka kufanya tumpigie magoti mzungu!!

..una hoja nzuri sana.

..hatuwezi kuheshimika kama tutakuwa hatutendeani haki ndani ya nchi yetu.

..hivi tukio la kikatili kama la kushambuliwa kwa Tundu Lissu liliongeza kiasi gani heshima ya Tanzania kimataifa?

..hatuwezi kuheshimika kama hatuna uwezo wa kukuza uchumi wetu na hatufanyi jitihada kujitegemea.

..ili tujitegemee tulipaswa kuwa makini zaidi ktk matumizi ya mapato yetu kwa kuyatumia ktk sekta zinazogusa wananchi wengi zaidi.

..hii nchi haiwezi kujitegemea kama hatutawekeza na kuwawezesha wakulima kutoka ktk lindi la umasikini.

..Je, kutumia matrilioni kujenga mji mkuu wa kifahari, na kununua madege toka kwa mabeberu, ni njia sahihi ya kuelekea ktk kujitegemea?
 
Ur among of intellectual bt kuna kitu niliwah kukushauri hukujibu chochote
Duh...!. Mkuu Komeo Lachuma, hapa hujatutendea haki, ume generalise wote wakati ni wengi ila sio wote.

Japo kwenye mfumo wetu wa elimu, ili kuwa mwandishi, Div 4 inatosha. Top cream ya arts wanakwenda Sheria. Kuna baadhi yetu mimi nikiweno shule tulipasua, tukaenda kusomea uandishi wa habari by choice, for the love of it na sio kwasababu ni vilaza. Uandishi hauhitaji akili kubwa, unahitaji kipaji tuu, ndio maana kuna waandishi kama mimi nimesoma Ilboru, na baada ya kuwa mwandishi for 10 good years, nilipanda Mlimani UDSM, nikapiga Sheria, LL.B, nikaifumua (hons), na sasa naendelea na uandishi wa habari.
Hivyo sio kweli kuwa waandishi wote wa habari ni vilaza!, vichwa pia vipo!.
P
 
..una hoja nzuri sana.

..hatuwezi kuheshimika kama tutakuwa hatutendeani haki ndani ya nchi yetu.

..hivi tukio la kikatili kama la kushambuliwa kwa Tundu Lissu liliongeza kiasi gani heshima ya Tanzania kimataifa?

..hatuwezi kuheshimika kama hatuna uwezo wa kukuza uchumi wetu na hatufanyi jitihada kujitegemea.

..ili tujitegemee tulipaswa kuwa makini zaidi ktk matumizi ya mapato yetu kwa kuyatumia ktk sekta zinazogusa wananchi wengi zaidi.

..hii nchi haiwezi kujitegemea kama hatutawekeza na kuwawezesha wakulima kutoka ktk lindi la umasikini.

..Je, kutumia matrilioni kujenga mji mkuu wa kifahari, na kununua madege toka kwa mabeberu, ni njia sahihi ya kuelekea ktk kujitegemea?
Lissu kupigwa risasi ilikuwa kosa kubwa sana .. binafsi sikuona sababu, sababu bila views kinzani hamuwezi endelea itabaki kutukuzana tu na kuongeza chawa, labda kama kulikuwa na taarifa za Siri state inazozijua. Kuhusu kilimo ni sehemu pekee inaweza toa mamillion ya watu kwenye umasikini.

Kwa ufupi hatuna mipango mizuri, ubinafsi wa viongozi na ufisadi, waafrika kwa kiasi kikubwa uzalendo ni zero, tunawazia Leo sio kuangalia vizazi vyetu.
 
Lissu kupigwa risasi ilikuwa kosa kubwa sana .. binafsi sikuona sababu, sababu bila views kinzani hamuwezi endelea itabaki kutukuzana tu na kuongeza chawa, labda kama kulikuwa na taarifa za Siri state inazozijua.

..hakuna justification yoyote ile ya kupigana marisasi kama ilivyotokea kwa Tundu Lissu.

..hii nchi imeshakuwa na waasi mwaka 1964; mauaji ya Raisi wa Znz mwaka 1972; majaribio ya mapinduzi walau matatu huku Tanganyika. Katika matukio yote hayo watuhumiwa walipelekwa mahakamani. Sasa hivi tuna watuhumiwa wa ugaidi wako mahakamani. Kama Lissu alikuwa na makosa basi alipaswa kupelekwa mahakamani, na kama alistahili kifo ilipaswa kuamuliwa na mahakama.
 
Sijajifagilia, ningeamua kujifagilia ningetambia kuwa Mtanzania wa kwanza ku host TV Talk Show Bongo!. Mimi ndie mwandishi Mtanzania wa kwanza kuripoti UNGA from NY!.
Mimi ndiye VJ wa kwanza hapa Bongo!.
P
Pascal- for the record and for new generations- watu wasikuchukulie poa
 
Tatizo la Mkapa ni ufisadi au maamuzi mabovu ktk
1.kuuza NBC
2. Kuuza mashirika kwa bei chee
3. Kuuza nyumba za serikali
4. EPA
5. Meremeta
6. Kagoda
7. Rada
8. Ndege ya Rais
7. Bulyanhulu
8. Mauaji ya Pemba
9. Kujimilikisha mgodi wa Kiwira
sijaliona kwenye hotuba hii au ume zoom mkuu?!
 
Duh...!. Mkuu Komeo Lachuma, hapa hujatutendea haki, ume generalise wote wakati ni wengi ila sio wote.

Japo kwenye mfumo wetu wa elimu, ili kuwa mwandishi, Div 4 inatosha. Top cream ya arts wanakwenda Sheria. Kuna baadhi yetu mimi nikiweno shule tulipasua, tukaenda kusomea uandishi wa habari by choice, for the love of it na sio kwasababu ni vilaza. Uandishi hauhitaji akili kubwa, unahitaji kipaji tuu, ndio maana kuna waandishi kama mimi nimesoma Ilboru, na baada ya kuwa mwandishi for 10 good years, nilipanda Mlimani UDSM, nikapiga Sheria, LL.B, nikaifumua (hons), na sasa naendelea na uandishi wa habari.
Hivyo sio kweli kuwa waandishi wote wa habari ni vilaza!, vichwa pia vipo!.
P
🤣🤣🤣🤣🤣 Wachache sana. Waandishi wengi kichwan watupu sana. Wachache ambao walikuwa smart. Pia hakuna suala la kipaji kwa mwandishi wa hbr. Ni taaluma. Huu ukipaji ndo ule ukanjanja wenyewe sasa. Iheshimiwe kama taaluma
 
Back
Top Bottom