Harvard University: Hotuba ya Hayati Rais Benjamin Mkapa

Harvard University: Hotuba ya Hayati Rais Benjamin Mkapa

Ulishawahi kufanya mahojiano yoyote na Mzee Mkapa? Kwanini hakupenda kuhojiwa na waandishi wa ndani ya taifa lake ilihali hata yeye alikuwa mwanahabari.
Sorry hii post ndio nimeiona sasa. Ben nilifanya mahojiano nae ile 1995. Baada ya hapo ni zile short impromptu zangu. No formal Interview.
P
 
Wanasema Mzee Mkapa hakupenda kabisa kuongea na wanahabari wa nchi yake ila huko kwa wakuu alijitahidi kuongea nao.

Tatizo hasa ilikuwa ni nini?
Alikuwa Ana zarau mbaya elimu ndogo San
 
Exposure ni kitu kikubwa sioni cha kushangaa exposure ya Mzee wa Scottish Wisk ilikua kubwa kuliko hawa washamba wa awamu ya 5
 
Tupo pamoja mkuu..

Ila Mzee Mkapa alikuwa mwandishi wa habari pia....Sasa kutopenda kuongea na waandishi wenzake inashangaza sana.
ila pale sikuona waandishi hata waliouliza maswali hawakubainisha kabisa kuwa ni waandishi ukiacha Paskal Mayala yaliyesema kuwa alikuwepo kwenye hiyo ziara- Nimemuona na JK pia wakati huo nadhani alikuwa waziri wetu wa mambo ya nje
 
Duh! Mkuu joka kuu,
Umenikumbusha mbali!. Nilikuwemo kwenye msafara wa ziara hii. Tulianzia Sweden, tukaja US na kumalizia UK pale St. Thomas Hospital. Baada ya kurejea home, haukupita muda mrefu, ndio Mwalimu Nyerere akaitwa!, ni kama tulipita London ili tuu kumuaga!.

P
Paskal hapa umeji boast - ila ulikuwepo ni kisifa stahiki.
 
Kipindi cha Nyerere - Mkapa - Magufuli, hii Nchi ilikuwa ikiheshimiwa sana. Hawa ndio walikuwa Marais wangu Bora kabisa kwa kipindi chote. Hawakuwa na uswahili swahili , ilikuwa ni kazi na matokeo tu.
 
ila pale sikuona waandishi hata waliouliza maswali hawakubainisha kabisa kuwa ni waandishi ukiacha Paskal Mayala yaliyesema kuwa alikuwepo kwenye hiyo ziara- Nimemuona na JK pia wakati huo nadhabi alikuwa waziri wetu wa mambo ya nje
It's true, JK ndio alikuwa MFA wa miaka yote 10 ya Mkapa.
P
 
Waandishi wengi nchini ni Division 4 au Zero. Uelewa wao mdogo. Hata mimi sipendi kuhojiwa nao. Hawana akili. Hawana maswali ya akili
Duh...!. Mkuu Komeo Lachuma, hapa hujatutendea haki, ume generalise wote japo ni wengi ila sio wote.

Japo kwenye mfumo wetu wa elimu, ili kuwa mwandishi, Div 4 inatosha. Top cream ya arts wanakwenda Sheria. Kuna baadhi yetu mimi nikiweno shule tulipasua, tukaenda kusomea uandishi wa habari by choice, for the love of it na sio kwasababu ni vilaza. Uandishi hauhitaji akili kubwa, unahitaji kipaji tuu, ndio maana kuna waandishi kama mimi nimesoma Ilboru, na baada ya kuwa mwandishi for 10 good years, nilipanda Mlimani UDSM, nikapiga Sheria, LL.B, nikaifumua (hons), na sasa naendelea na uandishi wa habari.
Hivyo sio kweli kuwa waandishi wote wa habari ni vilaza!, vichwa pia vipo!.
P
 
All credit should go to President Nyerere who set the tone and presedent for all Presidents to follow. Mkapa was a distinguished orator in his own right.
 
Tatizo la Mkapa ni ufisadi au maamuzi mabovu ktk
1.kuuza NBC
2. Kuuza mashirika kwa bei chee
3. Kuuza nyumba za serikali
4. EPA
5. Meremeta
6. Kagoda
7. Rada
8. Ndege ya Rais
7. Bulyanhulu
8. Mauaji ya Pemba
9. Kujimilikisha mgodi wa Kiwira
 
Kipindi cha Nyerere - Mkapa - Magufuli, hii Nchi ilikuwa ikiheshimiwa sana. Hawa ndio walikuwa Marais wangu Bora kabisa kwa kipindi chote. Hawakuwa na uswahili swahili , ilikuwa ni kazi na matokeo tu.

..nchi ilipoteza heshima yake wakati wa Magufuli.

..serikali yetu ilianza kusutwa na kuzomewa ktk uwanja wa diplomasia kwasababu ya kukiuka haki, na kukandamiza demokrasia.

..Tanzania haikuwahi kuchafuka kimataifa kama wakati wa Rais Magufuli ambapo nchi wahisani zililazimika kutususia.

..Rais Samia ameeleza kwamba EU walikuwa wamezuia fedha za miradi ya maendeleo mpaka majuzi serikali ilipoamua kubadili muenendo wake.
 
Back
Top Bottom