Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Duh! Mkuu joka kuu,
Umenikumbusha mbali!. Nilikuwemo kwenye msafara wa ziara hii. Tulianzia Sweden, tukaja US na kumalizia UK pale St. Thomas Hospital. Baada ya kurejea home, haukupita muda mrefu, ndio Mwalimu Nyerere akaitwa!, ni kama tulipita London ili tuu kumuaga!.
Kwenye Tribute yangu kwa Mkapa, hii ziara pia niliizungumzia
P
Umenikumbusha mbali!. Nilikuwemo kwenye msafara wa ziara hii. Tulianzia Sweden, tukaja US na kumalizia UK pale St. Thomas Hospital. Baada ya kurejea home, haukupita muda mrefu, ndio Mwalimu Nyerere akaitwa!, ni kama tulipita London ili tuu kumuaga!.
Kwenye Tribute yangu kwa Mkapa, hii ziara pia niliizungumzia
P