Harvard University: Hotuba ya Hayati Rais Benjamin Mkapa

Harvard University: Hotuba ya Hayati Rais Benjamin Mkapa

..hakuna justification yoyote ile ya kupigana marisasi kama ilivyotokea kwa Tundu Lissu.

..hii nchi imeshakuwa na waasi mwaka 1964; mauaji ya Raisi wa Znz mwaka 1972; majaribio ya mapinduzi walau matatu huku Tanganyika. Katika matukio yote hayo watuhumiwa walipelekwa mahakamani. Sasa hivi tuna watuhumiwa wa ugaidi wako mahakamani. Kama Lissu alikuwa na makosa basi alipaswa kupelekwa mahakamani, na kama alistahili kifo ilipaswa kuamuliwa na mahakama.
Wekeni ushahidi nani alihusika pamoja na kifo cha Chacha Wangwe. Watu wanogopa nini kuweka ushahidi? Visingizio haviwezi kulisaidia taifa.
 
Wekeni ushahidi nani alihusika pamoja na kifo cha Chacha Wangwe. Watu wanogopa nini kuweka ushahidi? Visingizio haviwezi kulisaidia taifa.

..wenye mamlaka ya kisheria kuchunguza , pamoja na utaalamu, ni jeshi la polisi.

..lakini tangu September 2017 wamekaa kimya, inaelekea hawataki kuchunguza kwasababu wanazozielewa wenyewe.

..hivyo basi, RAISI aunde TUME MAJAJI YA UCHUNGUZI ili ukweli ujulikane na wahusika wafikishwe MAHAKAMANI.
 
Wekeni ushahidi nani alihusika pamoja na kifo cha Chacha Wangwe. Watu wanogopa nini kuweka ushahidi? Visingizio haviwezi kulisaidia taifa.
Kifo cha Wangwe ni fumbo tata.

Nakumbuka kiongozi wa chama mmoja akisema yeye alipata fursa kuomba msamaha kwa marehemu pale mortuary Tarime mwili ukifanyiwa uchunguzi.

Sijui aliomba msamaha kwa kosa gani! 😆😆😆
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Wachache sana. Waandishi wengi kichwan watupu sana. Wachache ambao walikuwa smart. Pia hakuna suala la kipaji kwa mwandishi wa hbr. Ni taaluma. Huu ukipaji ndo ule ukanjanja wenyewe sasa. Iheshimiwe kama taaluma
Kila mtu anayejua kusoma na kuandika anaweza kuandika habari, lakini sio kila anayeandika habari ni mwandishi wa habari, ili uwe mwandishi wa habari mzuri, zaidi ya kuweza kuandika tuu habari, ni lazima pia uwe na kipaji ama cha uandishi, utangazaji au photogenic
P
 
Kifo cha Wangwe ni fumbo tata.

Nakumbuka kiongozi wa chama mmoja akisema yeye alipata fursa kuomba msamaha kwa marehemu pale mortuary Tarime mwili ukifanyiwa uchunguzi.

Sijui aliomba msamaha kwa kosa gani! 😆😆😆

..hata kifo cha Chacha Wangwe Polisi wanaweza kufungua upya uchunguzi wao.

..lakini kwa maoni yangu kama chama chake kingekuwa kinahusika sidhani kama serikali ingekuwa na msalie mtume.
 
Kituko ilikuwa rais wa awamu ya Tano. Hata maji alikuwa hawezi kuomba. Aliogopa kusafiri nje sababu ya lugha.

Nakumbuka alienda Zimbabwe akaongea kiingereza chake viongozi wenzie hawakuelewa ana Manisha nini. Sentence hovyo kabisa.

Ben Sanane akauliza uhalali wa PhD yake, akapotezwa mpaka Leo.
Ushamba tu unakusumbua, nioneshe ni wap rais wa china alitumia kiingereza?
 
..wenye mamlaka ya kisheria kuchunguza , pamoja na utaalamu, ni jeshi la polisi.

..lakini tangu September 2017 wamekaa kimya, inaelekea hawataki kuchunguza kwasababu wanazozielewa wenyewe.

..hivyo basi, RAISI aunde TUME MAJAJI YA UCHUNGUZI ili ukweli ujulikane na wahusika wafikishwe MAHAKAMANI.
Tuweke rekodi kwa usahihi
  1. kwenye tukio watu wa kusaidia upelelezi ni mhanga ( Lissu), aliye na mhanga (dreva wa Lissu) na shuhuda (majirani)
  2. Tunachokumbuka- Lissu hakuweza kusema; dreva wake na Lissu alisemewa na Mbowe kuwa ana msonho wa mawazo hawezi kusema hadi leo
  3. Majirani walisema waliyosema
  4. sasa POLISI wafanye nini hapo
 
..hata kifo cha Chacha Wangwe Polisi wanaweza kufungua upya uchunguzi wao.

..lakini kwa maoni yangu kama chama chake kingekuwa kinahusika sidhani kama serikali ingekuwa na msalie mtume.
Majibu ya maswali haya tutayapata kuanzia 04.03.2022 atakapokuwa anadodoswa na wakili Kidando na wenzake- Mwamba atasema tu.
 
Tuweke rekodi kwa usahihi
  1. kwenye tukio watu wa kusaidia upelelezi ni mhanga ( Lissu), aliye na mhanga (dreva wa Lissu) na shuhuda (majirani)
  2. Tunachokumbuka- Lissu hakuweza kusema; dreva wake na Lissu alisemewa na Mbowe kuwa ana msonho wa mawazo hawezi kusema hadi leo
  3. Majirani walisema waliyosema
  4. sasa POLISI wafanye nini hapo

..kuna msemo kwamba dola / polisi ina "mkono mrefu."

..maana yake ni kwamba polisi wakiwa wanakuhitaji lazima watakufikia.

..polisi kama wangekuwa wanawahitaji Lissu na dereva wake lazima wangewafikia na kufanya nao mahojiano.

..kwamba polisi wameshindwa kumfikia Lissu na dereva wake tangu Sept 2017 ni sawa na kusema Polisi wana "mkono mfupi," au hawana mikono kabisa.
 
Hotuba ya Rais Benjamin Mkapa Harvard University Sept 15, 1999.

Pamoja na kuhutubia Rais Mkapa alijibu maswali toka kwa wanajumuiya ya Harvard.


His level of articulation was just impeccable. Every word pronounced with precision, no fake accent.
Mkapa will always be one of my most favorite public speakers of all times.
 
His level of articulation was just impeccable. Every word pronounced with precision, no fake accent.
Mkapa will always be one of my most favorite public speakers of all times.

..he took his job seriously and read and prepared a lot for his speeches.
 
Back
Top Bottom